Mjue Nayb Bukele aka "Mkono wa Chuma" Rais wa El Salvador

Mjue Nayb Bukele aka "Mkono wa Chuma" Rais wa El Salvador

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Ana umri wa miaka 41.

Ni raisi wa nchi ya el Salvador, nchi ndogo iliyopo Latin America.

Ni raisi machachari kwelikweli.

Siku za nyuma nchi hii ilikuwa na rekodi ya kutisha kabisa ya matukio ya kiharifu. Ilikuwa ni ngumu kupita kipande chochote kwa salama pasipo kuchezewa rafu na wajomba.

Makundi ya kihalifu ndiyo yalitamalaki mengi yakigharimiwa na utajiri unaotokana na biashara haramu za madawa ya kulevya.

Lakini sasa el Salvador inatajika kuwa sehemu kuwa yenye usalama zaidi kiasi baadhi ya watu wanainasibisha na nchi ya Canada.

Je wajua anawafanya nini wanaotuhumiwa kujihusisha na uhalifu? Hii ni siri ya Nayb Bukele mwenyewe na washirika wake.

Sasaivi ameingia deal na Trump ampasie wale wahamiaji haramu wa kihalifu wasiotaka kurudi makwao.

Bukele anataka kuwapa nini hawa wahamiaji kutoka yuesi? Hilo analijua zaidi yeye mwenyewe Bukele na washirika wake na pengine Trump mwenyewe!

Hata sasa kutokana na hali ya amani na usalama wake, el Salvador imekwishahost mashindano makubwa kabisa ya kidunia ya ulimbwende.

Huyu ndiyo Nayb Bukele aka "Iron Fist" (Mkono wa Chuma) na el Salvador yake mpya.

Chao!
Screenshot_20250131-094544_Chrome.jpg


Screenshot_20250131-095238_Chrome.jpg
 
😆😆😆mwamba huyu hapa shaba za ubongo tu
Alie wamabia anawqua wahalofu ni nani? Wabongo ji wwvivu mno wa kusoma, ingia kwenye mitandao soma jinsi wanavyo pambana na uhalifu na hii ya kuu sio moja wapo
 
Ana umri wa miaka 41.

Ni raisi wa nchi ya el Salvador, nchi ndogo iliyopo Latin America.

Ni raisi machachari kwelikweli.

Siku za nyuma nchi hii ilikuwa na rekodi ya kutisha kabisa ya matukio ya kiharifu. Ilikuwa ni ngumu kupita kipande chochote kwa salama pasipo kuchezewa rafu na wajomba.

Makundi ya kihalifu ndiyo yalitamalaki mengi yakigharimiwa na utajiri unaotokana na biashara haramu za madawa ya kulevya.

Lakini sasa el Salvador inatajika kuwa sehemu kuwa yenye usalama zaidi kiasi baadhi ya watu wanainasibisha na nchi ya Canada.

Je wajua anawafanya nini wanaotuhumiwa kujihusisha na uhalifu? Hii ni siri ya Nayb Bukele mwenyewe na washirika wake.

Sasaivi ameingia deal na Trump ampasie wale wahamiaji haramu wa kihalifu wasiotaka kurudi makwao.

Bukele anataka kuwapa nini hawa wahamiaji kutoka yuesi? Hilo analijua zaidi yeye mwenyewe Bukele na washirika wake na pengine Trump mwenyewe!

Hata sasa kutokana na hali ya amani na usalama wake, el Salvador imekwishahost mashindano makubwa kabisa ya kidunia ya ulimbwende.

Huyu ndiyo Nayb Bukele aka "Iron Fist" (Mkono wa Chuma) na el Salvador yake mpya.

Chao!
View attachment 3219649

View attachment 3219650
We naye hakuna unacho jua ndio madhara ya ku copy habari, sasa umewaacha wajinga humu wadhania kwamba labda anawaua wahalifu kumbe katika njia za kuoambana na wahalifu hajawahi ua ila kafanimiwa kukamata maganhmgster zaidi ya 30,0000/
Huyu aliweka amari ya hatari au alitangaza amri ya hatari, na pia alitumia njia nyingi ikiwemo kukata source of income hasa biashara za madawa ya kulevya za hayo makundi. Wale wafashili wa kuu wa magangster nao walikamatwa, na wale wanao kamatwa hupigwa chata wote ambazo hazifutiki kamwe hata wakitoroka bado watakamatwa tu.
 
Kajenga bonge la gereza,South America hakuna linalifikia kwa kuchukua watu wengi na mlinzi wake ni mkali...now lina wafungwa kama 15k na nafasi ipo ya kutosha imebaki inawasubiri wengine.
 
Huko ndiko wanafungwa wanafundishwa Kushona kwa kutumia charahani kwa lazima ,sasa ole wako uvunje sindano hata kwa bahati mbaya🤣🤣🤣.Hiyo mikwaju yake nakuhakikisha hutarudia tena.Wewe ni nani usijue kushona gerezani?!
 
Back
Top Bottom