Mjue Oladee, kichwa kinachotembea akiwa analia bila Passport

tumaandishi vya hicho kijarida chenu cha udaku wa marehemu Muddy tupo kama virus vya corona
Hicho ni Kiarabu, na hiyo ni Qur'an, lugha ya kwanza inayosomwa na kusemwa na nchi nyingi duniani.

Hakuna nchi alipokuwepo Muislam ikakosa kusoma,kwa uchache, mara tano Kwa siku tena bila kufunguwa kitabu. Licha ya wale wanaofunguwa kitabu.

Tazama kijana wa Kitanzania anavyowapagawisha wa Pakistan, Mataifa mawili tofauti, lugha zao yofauti, lakini Ma shaa Allah wanaunganishwa na Qur'an iliyoteremshwa Kwa Kiarabu. Jionee...


Wewe mwenyewe unaongea maneno chungu nzima ya Kiarabu,ukipenda usipende. Muujiza.
 


Marehemu Muddy amewashika pabaya.
Ndo maana huwa mnafeli mitihani ya taifa, mna uwezo wa kukariri pages za udaku ulioandikwa na marehemu muddy wa mecca, ila hamuwezi kukariri definitions za physics, chemistry wala biology!
mwisho wa siku ninyi ndo mnaoongoza kwa ujinga TZ na dunia nzima
 
Huyu jamaa hua ni maarufu sana na mara nying anatumika kwenye ishu za kulia lia hivi kama vile breakups n.k. Nafikiri hua anajiona jinsi watu wakimtumia kwenye mitandao sana!
 
Jamaa anasema hafaidiki na chochote jnc watu wanavotumia hy pic yake
 
Oladee a.k.a stickerhead boy

Alipewa hela ya ada na bibi yake anabet yote mkeka ukachanika ndio akawa analia ili bookmaker amuonee huruma amrudishie hela yake.

Picha yake hiyo akilia ndio ikawa maarufu ikasambaa katika memes nyingi sana duniani akaja kulalamika tena kwanini kichwa chake (hiyo picha inakuwa photoshoped kwenye picha mbali mbali) kimesambaa sana duniani lakini hana umaarufu wala halipwi pesa yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…