Hicho ni Kiarabu, na hiyo ni Qur'an, lugha ya kwanza inayosomwa na kusemwa na nchi nyingi duniani.tumaandishi vya hicho kijarida chenu cha udaku wa marehemu Muddy tupo kama virus vya corona
Hicho ni Kiarabu, na hiyo ni Qur'an, lugha ya kwanza inayosomwa na kusemwa na nchi nyingi duniani.
Hakuna nchi alipokuwepo Muislam ikakosa kusoma,kwa uchache, mara tano Kwa siku tena bila kufunguwa kitabu. Licha ya wale wanaofunguwa kitabu.
Tazama kijana wa Kitanzania anavyowapagawisha wa Pakistan, Mataifa mawili tofauti, lugha zao yofauti, lakini Ma shaa Allah wanaunganishwa na Qur'an iliyoteremshwa Kwa Kiarabu. Jionee...
Wewe mwenyewe unaongea maneno chungu nzima ya Kiarabu,ukipenda usipende. Muujiza.
dogo mmoja wa kinaijeri alipunwa pesa kwenye kamariHuyu jamaa kama analia hivi kawa maarufu sana sijui ni naniView attachment 1405255
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndio akaangusha hicho kiliodogo mmoja wa kinaijeri alipunwa pesa kwenye kamari
ndio alitumwa na bibi gengeni ye akapita kwa wale jamaa wa keusi kekundu hpo alilia ili arudishiwe noti yake
Hahahaha ni movie audogo mmoja wa kinaijeri alipunwa pesa kwenye kamari
ni halisi sema watu wana edit tu picha yake
Alilia sana kwenye hiyo pichani halisi sema watu wana edit tu picha yake
anaitwa oladee kwa sasa mwnafunzi wa chuo
View attachment 1405297
Ila watu waliwezaje kumpiga picha hadi ika trend hadi leo..ilikua ni lini hili jambo?ndio alitumwa na bibi gengeni ye akapita kwa wale jamaa wa keusi kekundu hpo alilia ili arudishiwe noti yake
fikiria alipokuwa mtoto kama anavuyoonekna na sasa ni mwanafunzi wa chuoIla watu waliwezaje kumpiga picha hadi ika trend hadi leo..ilikua ni lini hili jambo?