BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
PAUL BIYA: RAIS MZEE ZAIDI BARANI AFRIKA
Jina kamili: Paul Barthélemy Biya'a bi Mvondo
Ana miaka 89
Ni Rais wa Cameroon tangu Novemba 6, 1982
Amewahi kuwa Waziri Mkuu kwa miaka 7
2008 Aliondoa Ukomo wa kukaa Madarakani ili atawale kwa muda anaotaka
2018 alishinda Urais kwa 80% dhidi ya Maurice Kamto
February 2022 alitimiza miaka 40 Madarakani
Anatajwa kuwa atagombea tena Urais 2025
Anashika nafasi ya 7 kati ya Marais 10 wazee zaidi Duniani
Ni Rais wa pili kutawala kwa muda mrefu akimfuatia Rais Thedoro Obiang Nguema wa Equatorial Guinea anayetawala tangu 1979.
Jina kamili: Paul Barthélemy Biya'a bi Mvondo
Ana miaka 89
Ni Rais wa Cameroon tangu Novemba 6, 1982
Amewahi kuwa Waziri Mkuu kwa miaka 7
2008 Aliondoa Ukomo wa kukaa Madarakani ili atawale kwa muda anaotaka
2018 alishinda Urais kwa 80% dhidi ya Maurice Kamto
February 2022 alitimiza miaka 40 Madarakani
Anatajwa kuwa atagombea tena Urais 2025
Anashika nafasi ya 7 kati ya Marais 10 wazee zaidi Duniani
Ni Rais wa pili kutawala kwa muda mrefu akimfuatia Rais Thedoro Obiang Nguema wa Equatorial Guinea anayetawala tangu 1979.