Mjue Paul Biya, Rais mzee zaidi Barani Afrika

Pamoja na kukaa madarakani muda mrefu cameroun ina utulivu, haina mapinduzi ya kijeshi wala vikundi vya waasi ukiacha wahuni wa boko haram wanaosumbuasumbua mpakani
Cameroon kuna vita vinaendea kati ya sehemu ya kusini magharibi ambako walitawaliwa na UK na sehemu nyingine walikotawaliwa na France.

 
Sijui Ni kwanin huwa nawapenda watu wanao kaa madarakani muda mrefu nawakubali sna Kama mzee wangu musev
 
2025 wakimpa madaraka lazima watakuwa wagonjwa.
We are mortar beings
 
Na anaishi zake Paris.
Nchi anaiongoza kwa remote control.
 
Kwakuwa hakuna mapinduzi yanayotokea Mara kwa Mara andelee Milele maana huko kwao magharibi mpaka tumechoka utakia Mali,Niger,Nigeria Mara nyoko nyoko yaani ni tabu tupu Mara kanal Mara captain Mara Sargent yaani Ubabe Ubabe bunduki mizinga full Kelele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…