Mjue Rais wa zamani wa Haiti, François "Papa Doc" Duvalier aliyewahi kuwa mchawi kuliko Marais wote Duniani

Mjue Rais wa zamani wa Haiti, François "Papa Doc" Duvalier aliyewahi kuwa mchawi kuliko Marais wote Duniani

Kuna mwingine alikuwa na fimbo yake, hata ikija boom crane ya kubeba tani 1000 haiwezi kubeba hiyo fimbo. Boom inavunjika.

Nchini kwake wanapumbazwa na mamoshi ya kibatari kinachogharimu mabilioni ya mapesa.

Eti kibatari kinaleta amani, Congo maelfu ya watu wanakufa kutokana na vita, lakini wale mabwana hawataki kupeleka hicho kimashine chao cha kuletea amani.

Israel na Palestine kunawaka moto, lakini still jamaa wamegoma kabisa kupeleka mashine yao ya amani ikamalize vita.

Pale Ulaya mashariki, kuna vita kali inarindima, jamaa kamashine kao wanakafungia tu kwao wanakakimbiza kwa nyimbo na mapambio
Ila kile kifimbo cha yule Mzee sikuwahi kukielewa aisee, alihudhuria sherehe moja huko MUSOMA vijijini kwa ndugu zake wazanaki kumbe jamaa wameshafanya Yao mzee aliokolewa na kifimbo baada ya kukigusisha kwenye msosi
 
Msosi ukageuka kuwa buti la jeje
Hahahahahahaha
Hapana mkuu Mzee aliamini fimbo isipotoka baada ya kugusa chakula basi iko shida na ili itoke kuna maneno alinuizia kwa kizanaki na fimbo kutoka ndo sherehe zilipoishia kwani mwalimu aliondoka kwa maneno mazito ya kizanaki akiwasema ndugu zake
 
Back
Top Bottom