makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi hatari sana wenye asili ya West AfricaVodoo
Ila kile kifimbo cha yule Mzee sikuwahi kukielewa aisee, alihudhuria sherehe moja huko MUSOMA vijijini kwa ndugu zake wazanaki kumbe jamaa wameshafanya Yao mzee aliokolewa na kifimbo baada ya kukigusisha kwenye msosiKuna mwingine alikuwa na fimbo yake, hata ikija boom crane ya kubeba tani 1000 haiwezi kubeba hiyo fimbo. Boom inavunjika.
Nchini kwake wanapumbazwa na mamoshi ya kibatari kinachogharimu mabilioni ya mapesa.
Eti kibatari kinaleta amani, Congo maelfu ya watu wanakufa kutokana na vita, lakini wale mabwana hawataki kupeleka hicho kimashine chao cha kuletea amani.
Israel na Palestine kunawaka moto, lakini still jamaa wamegoma kabisa kupeleka mashine yao ya amani ikamalize vita.
Pale Ulaya mashariki, kuna vita kali inarindima, jamaa kamashine kao wanakafungia tu kwao wanakakimbiza kwa nyimbo na mapambio
Msosi ukageuka kuwa buti la jejeIla kile kifimbo cha yule Mzee sikuwahi kukielewa aisee, alihudhuria sherehe moja huko MUSOMA vijijini kwa ndugu zake wazanaki kumbe jamaa wameshafanya Yao mzee aliokolewa na kifimbo baada ya kukigusisha kwenye msosi
HahahahahahahaMsosi ukageuka kuwa buti la jeje
Ebu tupe hiki kisa mkuuPamoja na uchawi wake kuna mwamba tapeli toka US alimtapeli Mara mbili na hakuweza kumfanya chochote,