radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
World Cup imemalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa Mwanamama Kolinda.
Baadhi ya Picha zake pia zimezua utata mwingi hata kuna video zikimuonyesha akiwakumbatia mashujaa wa Croatia walioloa jasho baada ya mechi kumalizika wengi wanajiuliza inawezekana vipi kwa Rais huyu Mwanamama kufanya yote haya? Kolinda Grabar mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Croatia kwa muda mrefu sana amefanya historia yake ya uongozi kukumbukwa zaidi katika World Cup ya mwaka 2018 zilizofanyika nchi Russia.
Lakini leo nakugusia mambo usiyo yafahamu kutoka kwa Rais huyu.
1. Ni Rais mwenye umri mdogo kuchaguliwa Croatia kulinganisha na viongozi waliopita.
2. Ni Mwanamke wa kwanza kushika nyadhifa ya Urais katika nchi ya Croatia tangu wimbi la vyama vingi lilipoanza mwaka 1990.
3. Ni Mwanajeshi Commando mstaafu ambaye aliwahi kushika nafasi ya Naibu katibu Mkuu wa umoja wa Majeshi ya kujihami kwa nchi za Magharibi NATO (Haingiliki kirahisi si mtu wa mchezo mchezo unaambiwa kina cha bahari hakipimwi kwa kijiti)
4. Aliwahi kuwa balozi wa Croatia nchi Marekani mwaka 2007 -2011
5. Ni ACE Marksman Commando brigade unaambiwa akishika silaha hakosei pale anapolenga kama atapiga kichwa Sawa kama amelenga taya hakosi (Ina maana kuwa ni mtu wa Target kama mpo thelathi wote anawalaza chini)
Rais Kolinda enzi za kutumikia jeshi alikuwa ni mtu mwenye kupenda kuwatia Moyo wapiganaji hii ndiyo maana aliamua yeye mwenyewe kwenda nchi Russia kuwatia moyo wachezaji wa Taifa hilo katika michuano ya kombe la Dunia.
Chanzo kutoka mitandao mbalimbali.
Baadhi ya Picha zake pia zimezua utata mwingi hata kuna video zikimuonyesha akiwakumbatia mashujaa wa Croatia walioloa jasho baada ya mechi kumalizika wengi wanajiuliza inawezekana vipi kwa Rais huyu Mwanamama kufanya yote haya? Kolinda Grabar mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Croatia kwa muda mrefu sana amefanya historia yake ya uongozi kukumbukwa zaidi katika World Cup ya mwaka 2018 zilizofanyika nchi Russia.
Lakini leo nakugusia mambo usiyo yafahamu kutoka kwa Rais huyu.
1. Ni Rais mwenye umri mdogo kuchaguliwa Croatia kulinganisha na viongozi waliopita.
2. Ni Mwanamke wa kwanza kushika nyadhifa ya Urais katika nchi ya Croatia tangu wimbi la vyama vingi lilipoanza mwaka 1990.
3. Ni Mwanajeshi Commando mstaafu ambaye aliwahi kushika nafasi ya Naibu katibu Mkuu wa umoja wa Majeshi ya kujihami kwa nchi za Magharibi NATO (Haingiliki kirahisi si mtu wa mchezo mchezo unaambiwa kina cha bahari hakipimwi kwa kijiti)
4. Aliwahi kuwa balozi wa Croatia nchi Marekani mwaka 2007 -2011
5. Ni ACE Marksman Commando brigade unaambiwa akishika silaha hakosei pale anapolenga kama atapiga kichwa Sawa kama amelenga taya hakosi (Ina maana kuwa ni mtu wa Target kama mpo thelathi wote anawalaza chini)
Rais Kolinda enzi za kutumikia jeshi alikuwa ni mtu mwenye kupenda kuwatia Moyo wapiganaji hii ndiyo maana aliamua yeye mwenyewe kwenda nchi Russia kuwatia moyo wachezaji wa Taifa hilo katika michuano ya kombe la Dunia.
Chanzo kutoka mitandao mbalimbali.