Kuna picha nadhani. Hujaziambatanisha hapa akiwa beach. Aisee huyu prezdaa yupo vizuri has a akiwa katika bikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna picha nadhani. Hujaziambatanisha hapa akiwa beach. Aisee huyu prezdaa yupo vizuri has a akiwa katika bikini
Kwa nyinyi under 18 lazima mumuone mzee kwa sababu ana fifty sasaMbona anaonekana amezeeka?
Ahhha hahaha ha-ha sawa mkuuSource JF, mwanzisha thread MSAGA SUMU, halafu useme hiko ni chanzo cha kuaminika.
hata halima anazo sifa hizo tatizo nchi aliyozaliwa
Hii post ni ya uongo hasa hapo kwenye habari za huyo mama kuwa komando. Najua wewe umeitoa kwa Shafii dauda. Kaangalie mwenzio aliifuta ghafra baada ya kuona koment za wadau. Hizo pic akiwa amevaa nguo za kijeshi ni kipindi akiwa ameshakuwa kiongozi wa nchi yake.World Cup imemalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa Mwanamama Kolinda.
Baadhi ya Picha zake pia zimezua utata mwingi hata kuna video zikimuonyesha akiwakumbatia mashujaa wa Croatia walioloa jasho baada ya mechi kumalizika wengi wanajiuliza inawezekana vipi kwa Rais huyu Mwanamama kufanya yote haya? Kolinda Grabar mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Croatia kwa muda mrefu sana amefanya historia yake ya uongozi kukumbukwa zaidi katika World Cup ya mwaka 2018 zilizofanyika nchi Russia.
Lakini leo nakugusia mambo usiyo yafahamu kutoka kwa Rais huyu.
1. Ni Rais mwenye umri mdogo kuchaguliwa Croatia kulinganisha na viongozi waliopita.
2. Ni Mwanamke wa kwanza kushika nyadhifa ya Urais katika nchi ya Croatia tangu wimbi la vyama vingi lilipoanza mwaka 1990.
3. Ni Mwanajeshi Commando mstaafu ambaye aliwahi kushika nafasi ya Naibu katibu Mkuu wa umoja wa Majeshi ya kujihami kwa nchi za Magharibi NATO (Haingiliki kirahisi si mtu wa mchezo mchezo unaambiwa kina cha bahari hakipimwi kwa kijiti)
4. Aliwahi kuwa balozi wa Croatia nchi Marekani mwaka 2007 -2011
5. Ni ACE Marksman Commando brigade unaambiwa akishika silaha hakosei pale anapolenga kama atapiga kichwa Sawa kama amelenga taya hakosi (Ina maana kuwa ni mtu wa Target kama mpo thelathi wote anawalaza chini)
Rais Kolinda enzi za kutumikia jeshi alikuwa ni mtu mwenye kupenda kuwatia Moyo wapiganaji hii ndiyo maana aliamua yeye mwenyewe kwenda nchi Russia kuwatia moyo wachezaji wa Taifa hilo katika michuano ya kombe la Dunia.
Chanzo kutoka mitandao mbalimbali.View attachment 812535View attachment 812536View attachment 812537View attachment 812538
Ahhha hahaha ha-ha sawa mkuu
Usijali mkuu, pamoja sanaIla natania tu mkuu, don't take me serious.
Nothing personal.
Hahahahaha.. Smart wangu jamani doh!!! mapenzi hayana cha vyeo anapunyuliwa vizuri tu
alimsaga mke wako?Halima gani, huyu msagaji wa Chadema?
Siyo mvua tu pia majasho ya wachezajiRaisi alilowana na mvua Siku ya fainali na hata hakujali...
alimsaga mke wako?
Maziwa kama ya Gigi Money{Monkey}
Hahahaaaaa!Maziwa kama ya Gigi Money{Monkey}