Mjue Raisi wa Croatia mama Kolinda Grabar.

Moja ya vitu nilivyopenda WC hii ni huyo mama[emoji16]
 
Source ni nairobi news! Hahahah, ni sawa tu na mtu kuja na stori na kusema source n jf. Mkuu nenda hata wikipedia tu utapata background yote ya maisha yake, elimu yake, ndoa yake, familia, ajira n.k, huyo hajawahi kuwa mwanajeshi.
Kaaa we jamaa umenichekesha sana ngoja nikuache kwa hiyo mtu akikuambia chanzo ni jf sio habar ya kuaminika?
 
Kaaa we jamaa umenichekesha sana ngoja nikuache kwa hiyo mtu akikuambia chanzo ni jf sio habar ya kuaminika?
Jf unasema ni chanzo cha habari cha kuaminika mkuu?? Kwa maoni yangu humu jf kuna maoni tu ya wadau na sio habari za kuaminika mkuu. Humu kuna mpaka utani sasa itakuwaje ni chanzo cha habari cha kuaminika
 
Jf unasema ni chanzo cha habari cha kuaminika mkuu?? Kwa maoni yangu humu jf kuna maoni tu ya wadau na sio habari za kuaminika mkuu. Humu kuna mpaka utani sasa itakuwaje ni chanzo cha habari cha kuaminika
Haaa hii unayoniambia leo ni mpya basi mnaofanya utani ni nyie lakin jf ni chanzo cha habar cha kuaminika tia akilini kama ni utani basi hii forum ingeshafutwa kama kuna taarifa za kizushi
 
Haaa hii unayoniambia leo ni mpya basi mnaofanya utani ni nyie lakin jf ni chanzo cha habar cha kuaminika tia akilini kama ni utani basi hii forum ingeshafutwa kama kuna taarifa za kizushi
Ni chanzo cha kuaminika kama tu habari hiyo umethibitisha. Humu habari zipo nyingi, zipo siasa, udaku na umbeya pia upo. Huwezi sema hii ni credible source of information, labda tutumie neno lingine mkuu. Mfano mzuri ni hata hii habari yako wapo watu wanakuchallenge, ni vipi mtu anaweza kutegemea taarifa yakoo hii.
 
Kuchallenge lazima hilo lakin kumbuka habar nyingi za hapa huanza kama fununu baadae huwa kweli hamnaga taarifa ya muhimu hapa ikaletwa ikawa ya uongo hasa zinazolenga vitengo nyeti.
 
Nimejaribu sana kutafuta neno "komando" nikalikosa, au mkuu hiyo kuandikwa full military training na no-nonsense woman ndio umetafsiri ni komando?! Pia hilo la sijui kulenga shabaha sijui akikamata mashine hakosi nayo nimetafuuuuuta kwenye hiyo source yako nayo haipo, au mkuu umetolea chanzo gani kingine???
 
Alikuwa Komandooo wa kutoa URODA
 
Mjue= mfahamu. Kuna tofauti kati ya kumjua na kumfahamu. Alinipa morali ya kuangalia mechi za Croatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…