Mjue Raisi wa Croatia mama Kolinda Grabar.

Hapo No 5 umesema ni komandoo .....
amewai kupigana vita ipi akatoka salama???
jaza nyama bana acheni siasa zenu za chama....
 
Duu ni mnomaa asee ... ako na mambo mbaya kabisa! Salute to her [emoji1544] sema anae ziwa tanganyika ya kutosha- Number โ€œDโ€ yani.
 
Kuna picha nadhani. Hujaziambatanisha hapa akiwa beach. Aisee huyu prezdaa yupo vizuri has a akiwa katika bikini
 
Watu wakimuona wanamwita mrembo kumbe ni commando![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Haya magazeti ya wakenya nishai kweli kweli. Huyo Musungu anajifanya anajua zaidi ya wacroatia wenyewe sio? Ha ha ha, jaribu hata kutumia Google tu utaona ni magazeti ya kikenya ndio yanamtaja huyo Kolinda kama commando. Habari zote za Kolinda zipo wazi Wikipedia na hakuna mahali popote panapotaja kuwa aliwahi kuwa commando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ