Mjue Saddam Hussein wa Zaire

Ahsante Papaa...!
Hata mimi pia nilijaribu kumzungumzia mtu mmoja maarufu sana na muhimu sana kwa JB mwansiasa anaitwa Adam Bombole...!!
Kama una information zake pia tuongezee kutujuzaa....
Pia kuna jamaa anaitwa kitu kama Patrick Bologna,ni bwana mdogo sana kwa miaka hiyo ila alikuwa na kisu balaa kuna ile live show alipigaga JB Mpiana huko France title yake ni ZENITH humo Bologna wamemtaja kama mara 1000 na zaidi.

Inavyoonekana hawa vijana wengi wao wazee wao walikuwa na mtiririko fulani kwenye system ya Mobutu so wakawa na ukwasi wa hali ya juu sana mfano wikipedia wanasema huyu Bologna sasa yupo aged 39 ila toka miaka ya 97/99s yupo anafadhili band it means akiwa na miaka 19 tayari alikuwa ameshasimama vizuri.

Sasa ni mwanasiasa kwao DRC.
 
Dah!!!!! Muziki upo wapi siku hizi,nasikia kelele tu,sielewi lugha yao ila napenda muziki mzuri wa hawa jamaa
Hiyo OMBAA akikupigia mtu halafu kwenye music system yenye hadhi kidogo na iliyokamilika hata kama sio mpenzi wa dansi lazima mguu na kichwa uvichezeshe chezeshe.

Wakongo mziki wanaujua sana yaani wale jamaa kuimba wamebarikiwa.
 
Watoto wa mobutu na wa wale waliokua karibu na mobutu walinufaika mno
Kama bemba huyu unaemskia kaachiwa the heague ana undugu na mobutu ndo mana ana pesa

Nyiwa mobutu alikua kijana mdogo tu ila akawa anamiliki makampuni makubwa

Manda mobutu yeye aliacha kazi serikalini akawa anafanya biashara(imagine kijana anafanya hivo)

Binti ya mobutu aliolewa akapewa na baba yake, range rover ,majumba 3 ulaya na pesa bank na bwana ake kila wakienda zaire mobutu anawapa bahasha ya pesa

Hata huyu kongolu alikua ameanza kutajwa miaka ya 93 huku ina maanisha kua akati yuko 23 alikua ni mtu maarufu sana ndani ya zaire
 
Napenda sana muziki wa Wenge BCBG.Nyimbo kama process mambika,Barakuda,Pentagon,nk ni nzuri,hazichuji.Anayejua historia kamili ya bendi hii mpaka kusambaratika kwake adondoshe nondo humu.Nitafurahi mno.
Ngoja waje
Ila kwa kifupi navojua ni kuwa .lile kundi lilianzishwa kinshasa na vijana wasomi wengi wao wakiwa marafiki baadhi walisoma pamoja
Sababu baadhi za kuvunjika ni kuwa .alikufa mfadhili wao mkuu kongolu mobutu , ubinafsi wa wanamuziki nk
 
Napenda sana muziki wa Wenge BCBG.Nyimbo kama process mambika,Barakuda,Pentagon,nk ni nzuri,hazichuji.Anayejua historia kamili ya bendi hii mpaka kusambaratika kwake adondoshe nondo humu.Nitafurahi mno.
Kuna nyimbo yao wanaimba kuhusu historia ya kundi .niliiskiliza last week ngoja nitaiweka humu
 
huyo Joseph kongolo umaarufu wake uliibuka katika kipindi hiki cha utawala wa rais kabila. sidhani kama anahusiana kongulu mobutu, mtoto wa mobutu seseseko.
Sure
 
Hii ni video inayoonesha mahojiano ya kongolu mobutu akiwa nyumbani kwake.
Ni mtu aliyependa magari na kupendeza
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…