luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
pande LA mtuKongolu akiwa na walinzi wake alipokimbia zaire akiwa brazaavilleView attachment 805919
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pande LA mtuKongolu akiwa na walinzi wake alipokimbia zaire akiwa brazaavilleView attachment 805919
Dah!!!!! Muziki upo wapi siku hizi,nasikia kelele tu,sielewi lugha yao ila napenda muziki mzuri wa hawa jamaaPana wimbo inaitwa Recto verso kaimbwa Adam bombole hata katika OMBA pana sehemu anaimba "soki nazalaki lokola Adam bombole soki nazalaki lokola Andrew kimbuta soki nazalaki president patchel nde natongelayo chateau na ville monaco.kifupi anasema angekuwa na pesa kama watu hao basi angemjengea jumba katika jiji la monaco.
Hahahah[emoji23]Acha kabisa mkuu huyo mtoto sio wa Mchezo, ana kila sifa ya kuwa humu.
Haswa.pande LA mtu
Mkuu,ikibidi hata wafanyie interviewkaka yAke kongulu aliitwa nyiwa Mobutu,huyu Alizaliw 55 alikufa 94 kwa ngoma,dada zake kongulu kwa sasa wawili wapo Belgium ktk mji wa Waterloo
mwezi ujao nitaenda ubelgiji nitahakikisha napata details zao
Wanaimba bado.wacheki youtube na pia wapo insta wakitoa nyimbo wanaweka linkDah!!!!! Muziki upo wapi siku hizi,nasikia kelele tu,sielewi lugha yao ila napenda muziki mzuri wa hawa jamaa
Fanya hivi nenda Google kwa mfano wimbo OMBA jb mpiana lyrics waweza kupata ya kingereza ukaburudika fanya hivyo ila sio nyimbo zote zipo penye utaratibu huo.Dah!!!!! Muziki upo wapi siku hizi,nasikia kelele tu,sielewi lugha yao ila napenda muziki mzuri wa hawa jamaa
Kabisa mkuuNilichojifunza hapa ni kuwa kuna binaadamu hata kama wanaishi maisha mafupi sana lkn yanakuwa yametawaliwa na amani sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...we mchokoziNitaomba tena ijirudie uongoze mapigano.
We nae[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji86] [emoji86]Mkuu ulitunukiwa ?? Mbona mnaongelea kumisiana mara kufurahishana
Haaahaaaa...uwiiiAcha kabisa mkuu huyo mtoto sio wa Mchezo, ana kila sifa ya kuwa humu.
[emoji23] si nampeleleza ili nijue kama umetulia.We nae[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji86] [emoji86]
tatizo lugha sidhani Kama watajuA EnglishMkuu,ikibidi hata wafanyie interview
Haaahaaa...basi namjibia sijatulia hata[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] si nampeleleza ili nijue kama umetulia.