Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sidhani kama watamsoma shuleWajukuu zetu nao watakuja kusoma kuna mtu aliwahi kuitwa jpm
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu sidhani kama watamsoma shule
Nadhani wataona tu picha yake kwenye vitabu vya civics
SanaHatari.
We kiumbe upo humu nilijua umepotea.Waoow nzuri sana
Ni saddam husseinSema Sadamisene sio Saddam Hussein.
Enx mkuuWaoow nzuri sana
Nipo mkuu...We kiumbe upo humu nilijua umepotea.
Duuuh walikua wana tembea na Supersonic speedKongolu amefanana na mama yake, hawa watoto walisima Ufarasa na Concorde iliwarudisha Zaire kila Ijumaa baaada ya masomo na Jumatatu asubuhi waliwahi shule.
Walikula bata mpaka kuku anaona wivu. Dada yao aliolewa gauni la harusi lilinunuliwa kwa $30,000 miaka hiyoDuuuh walikua wana tembea na Supersonic speed
Na huyu Adam Bombole,Jb anapenda sana kumtajaVipi mkuu
Inawezekana sababu aliwapa kina werra son na jb mpiana mercedes benzNahisi hata yale magari ya kifahari kwenye video za album ya pentagon ni za jamaa,na wamemtaja sana kule
Nimemsikia sana ila simfahamuNa huyu Adam Bombole,Jb anapenda sana kumtaja