Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaah acha wivu mkuu...tuma picha ya mrembo anayemzidi huyo kwa shepu kalii...kama kweli unajiamini wewe unashepu bomba kuliko huyo njoo pm niwalinganisheLabda kuliko wanawake zako ulio date nao.
Kwangu haoni ndani huyo.[emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda ni mchache na mambo ni mengi!
Mkuu tusibishane...weka picha ya mrembo anayemfunika tuoneMkuu umetudharirisha sana mabaharia inamaana hcho kijishep ndo unakuja kufungua uzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319
Sipati picha mkuu ulivyokuja mbio uka scroll hizo picha kisha ukaiss like snake afu ukakomenti.
Hicho kigezo kuliko wanawake wote Afrika mnatumia nyenzo gani? Wkt ukienda Dodoma ndanindani kuna wanawake bomba kuliko huyu tena unakuta mama ana watoto 3 chuchu konzi umbo namba 8 hana kitambiHuyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319
Nifundishe/nielekeze hiyo sehemu na mimi niwe naangalia na kusadifu kama yaliyomo yamo mkuu.Mbunye yake haina mashavu ya kuvutia. Tunatofautiana kuhusu uzuri wa mwanamke. Mimi kuna sehemu naangalia ili kupata picha ya kipochi manyoya.
Dah!!...Huku kutamanishana tu Baby NimahMkuu ushaona shepu yangu ?? Ukiona yangu nazani utafuta huu uzi [emoji23][emoji23]
Yes nina shape nzuri sana, na mwanamke stara siwezi kukutumia picha yangu maana sijiuzi.Hahaah acha wivu mkuu...tuma picha ya mrembo anayemzidi huyo kwa shepu kalii...kama kweli unajiamini wewe unashepu bomba kuliko huyo njoo pm niwalinganishe