Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

Mkuu ushaona shepu yangu ?? Ukiona yangu nazani utafuta huu uzi 😂😂
Hahaaah mkuu wacha maneno...njoo pm ninong'oneze jina lako unalotumia insta nikikuta kweli nakuja kufuta thread
 
Yaani we Jamaa hicho kishepu tu ndo kimekufanya ufungue uzi, ukipewa papuchi SI utaenda cherekochereko ya tbc kutoa ushuhuda
Mkuu tuwe wakweli..mrembo gani anamfunika kwa shape kali
 
Simaanishi unajiuza mkuu...hahaah ningekuwa najua jina lako unalotumia insta ngekuja nikuone maana sio kwa kujiamini huku
Mkuu wewe sema kwamba kati ya wanawake wote uliodate nao huyo ndiyo kawafunika kwa shape. Hamna kitu hapo. Unajua macho yako yamekuambia huyo ndiyo ana shape hivyo hata ukiona yangu utaona si shape kwa sababu wewe ushadanganywa na macho yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kigezo kuliko wanawake wote Afrika mnatumia nyenzo gani? Wkt ukienda Dodoma ndanindani kuna wanawake bomba kuliko huyu tena unakuta mama ana watoto 3 chuchu konzi umbo namba 8 hana kitambi
Ebu leta picha ya hao wa dodoma ndanindani wanaomfunika
 
Back
Top Bottom