Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mkuu umetumia english ngumu sana ingawa kuna mengine nimeyapata vzur .
Kama utaweza taja zile doctrines ambazo ntakua cjazzngatia hapa chini ili tuzjadir vzur.

Nimeona haya hapa
1. Purgatory au Toharani
2. Rosary
3. Kusali kupitia Bikra Maria
4. Bikra Maria kutokuwa na dhambi
5. Kuungama kwa Padre
6. Wokovu kwa Imani(Faith) na Matendo mema (works)
7. Wokovu ni ktk Kanisa Katoliki pekee
8.
9.
10.
11.
12.
13.

Yaliyosahaulika
1. Kubatiza watoto wachanga
2. Kunywa pombe[emoji3]
3. Ubatizo wa maji madogo
4. Kuombea marehemu
Nk nk nk


Nadhan tuanzie hapo kujadir
 
Mkuu nimejitolea kuwanyoosha hawa vichaa.
Mkuu hawa ni wapuuzi tu, tena nashauri ukiona hawana arguments zozote za msingi hachana nao,

hizo conspiracy theories zipo kibao tu ukienda google, alafu kwa akili zao zilivyo kuwa biased wao wanahisi hizo mambo za masonic zina associate na catholic tu.. wapuuzi sana hawa.

Nawashauri waende tena google watype "secret of religion" kama hawaja achana kabisa na dini, kwa maana hata wapagani nao wameweka conspiracy theories zao kibao wakielezea jinsi uongo ulivyofichwa kwenye dini.

Sasa kabla hawajatuletea hayo madesa yao kuhusu catholics basi waexpand brain zao na kutafuta sababu ni kwanini leo hii tuna ma-atheists tena wengine ni wanafalsafa.kwa kufanya hivyo ndio waje watunyooshe vidole hapa.

Vinginevyo huu uharo wanaotujazia hapa ni wakupuuza tu wasome wenyewe.
 

Unahisi una akili sana?
 
Haaaaa haaaa duh kichekesho ni kiapo cha siri cha black pope sasa kama ni siri ya illuminat sijui mjomba kakiokota wapi Yallabi tobaaaa.
Eti..?mabank yote ni yao haaa haaa na chuo cha SAUT imekuaje nacho kuhusu kufukuza na sala haaa haa duh leo nimecheka pekee angu wallah alafu kuna mjomba hapo nae ka-copy mzigo google kaja ku-paste kama ulivyo kuhusu RC haaa haaa hataki shida yeye katuachia tuangaike nao.
Mzee wangu Magufuli please naomba utusaidie kwanza warudishe vijana wako pale UDOM watatuua mtaani uku na pia baba tunaomba sukari baba weweeee sukariiiii maana vijana wako wanavurugika kisa shuga baba haaaaa haaaa ila nimecheka duh.
 
Hv kwa nini nyie wandugu madhehebu mnayaita dini? Et dini yangu anglikana just an eg.
 
Mungu haangalii dhehebu anaangalia kama unamuabudu kwa haki! Unaweza usiwe na dhehebu lakini ukawa na haki ya Kuwa mwana wa mungu kwa kutenda atakayo yeye!
nilikuuiilza hivyo coz naona mnajiona nyie peke yenu mlio nje ya ukatoliki ufalme wa pepeoni ndio unawahusu, kwanza nyie mpo mstari wa mbele kuhukumu dini za wengie muda wote ndio maana huwezi kuta Mrc anapoteza muda wake kuhangaika na yy badala ya kupambania nafsi yake
 
hah hah mbavu zangu, ila kwn voko wapo vizuri, hawa watu huwezi kubishana nao kwanza wao bado wapo kwn agano la kale hawaamini ktk agano jipya utatumia nguvu nyingi bila kufika nao muafaka!
 
Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....
Na Waanglican wao asili ya dini yao ni mambo ya michepuko, hasa pale King Henry viii alipokataliwa na Pope kuoa mke wapili ikiwa ni tofauti na mafundisho ya kanisa katoliki hivyo akaamua kuanzisha dini yake, kwahiyo wao ni wafuasi wa mfalme Henry viii!
 

Baba yake yesu anaitwa nan? Yapi majukum ya baba yake yesu ktk ulimwengu huu

Hv kati ya mama Wa yesu na baba Wa yesu yupi ni Mkuu zaid
 
SOMENI KITABU CHA SECRET TERRORIST MTAGUNDUA NA KUJUA SIRI NZITO ZILIZO JIFICHA NYUMA YA KANISA KATOLIKI, ACHENI KUPINGA TU KWA SABABU BAADHI YENU MMEGUSWA
 
SOMENI KITABU CHA SECRET TERRORIST MTAGUNDUA NA KUJUA SIRI NZITO ZILIZO JIFICHA NYUMA YA KANISA KATOLIKI, ACHENI KUPINGA TU KWA SABABU BAADHI YENU MMEGUSWA
Safi sana...[emoji115] [emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…