Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
Ha ha ha ha safi snaa bro huyu jama hajielew sna..ni zaidi ya zuzu kweli...

Sasa kama biblia unayoiamini umesema ilitungwa kujazikiza cjui kusuit mafundisho ya dini /kanisa katoriki ,sasa huoni kuwa bado upo katika mafundisho ya uongo..daaaah..tatizo cjui mnasomaje maandiko..au wew tupe source ya uelewa wako juu ya hayo mambo...we we unayejiita cjui nan otong'orondo...[emoji4] [emoji4]
 
Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
Idanganya kitu gani.?? Kuwa biblia si mali ya Kanisa..??

Hivi unaijua historia ya SDA Church mkuu..??

(weka akilini hii....Wasabato siyo Wakristo ila hupenda kijiita ati na Wao ni Wakristo..)
 
Good! Kwa hiyo catholic mafundisho yake ni ya kubuni?
Ina maana kama ni ya kubuni ina maana uongo mwing?


Mafundisho gani ya catholics hayapo kwenye Biblia? Au ambayo yamekatazwa kwenye Biblia?

Orodhesha hapa afu tuchambue moja baada ya jingine.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
.
.
.
.
n
Where n=n+1
 
Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....

Ticktock dork
Whr did ya gat yo biblical awareness abot dic things happening or predicted to come happening...??
Nijibu ...fasta..kuwa weww umepata wap you secret facts about yo biblical education..!!
 
Ha ha ha ha safi snaa bro huyu jama hajielew sna..ni zaidi ya zuzu kweli...

Sasa kama biblia unayoiamini umesema ilitungwa kujazikiza cjui kusuit mafundisho ya dini /kanisa katoriki ,sasa huoni kuwa bado upo katika mafundisho ya uongo..daaaah..tatizo cjui mnasomaje maandiko..au wew tupe source ya uelewa wako juu ya hayo mambo...we we unayejiita cjui nan otong'orondo...[emoji4] [emoji4]
Umekuja...Nilikuambia nipo sambamba na wewe..

Sasa na wewe ni Msabato ...??
 
Idanganya kitu gani.?? Kuwa biblia si mali ya Kanisa..??

Hivi unaijua historia ya SDA Church mkuu..??

(weka akilini hii....Wasabato siyo Wakristo ila hupenda kijiita ati na Wao ni Wakristo..)

Wakristo ni wakina nani kaka? Nipe maana ya mkristo inawezekana siijui!
 
Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!

Mheshimiwa ainisha uongo wa Catholics hapa tuuweke wazi ili wakome kutudanganya
 
Whr did ya gat yo biblical awareness abot dic things happening or predicted to come happening...??
Nijibu ...fasta..kuwa weww umepata wap you secret facts about yo biblical education..!!
Biblia haikuandikwa kutabiri yanayotokea sasa...

Nakuliza Tena unaijua historia ya SDA church au tuiweke hapa..

Maana haya mambo ya kutabiri na kutumia vitabu vya Danieli na ufunuo wa Yohana alianza navyo muasisi wenu William Miller...

Ni vizuri tuijue historia
 
Hivi Wasabato mnafahamu kuwa GC inajiandaa kurekebisha Biblia na kuongeza manuscript za Ellena White...
Biblia hiyo itajulikana kama "The Clean Bible"
 
Umekuja...Nilikuambia nipo sambamba na wewe..

Sasa na wewe ni Msabato ...??
[emoji3] [emoji3] binafs siyo msabato ila ukweli unajulikana...nayajua sana mafundisho ya kisabato na kikatoriki nayajua sana zaidi ya wew unavoweza nifikilia...
 
Haya ni mafundisho ya KISABATO, ndivyo wanavyodanganywa na wenzao wenye uwezo huo wa kufikiria. Sio lazima kuonyesha Dhehebu fulani ni baya ili upate wafuasi. Fundisha NENO la Mungu ili watu wakuelewe. Binafsi nitabaki kuwa MKRISTO MKATOLIKI mpaka siku yangu ya mwisho
 
Mafundisho siyo ya kubuni ni mafunuo ya Roho Mtakatifu....Sasa ili kupigilia msumari wa mwisho kwenye mafunuo hayo ikahitajika biblia ku-suit..

Mkuu hivi upo serious au unajoke?

Hayo mafunuo anaweza kutudhihirishiaje sisi wanadamu wenzie kua yametoka kwa mungu?

Na hayo mafunuo ni kama alikua anaota au kuna tv ilifunuka mbele yake akawa anaona?Je unaelewa kuna uwezekano akawa alikua ana hallucinate tu?

Mafunuo hayo yeye alijuaje yanatoka indeed kwa Mungu?

Kwanini watu wote waliofunuliwa na huyo mungu ni wanadamu wanaotoka kwenye kipande kidogo tu ardhi duniani kinachopatikana mashariki ya kati ambacho ni jangwa na watu wake ni wanadamu kama walivyo wanadamu wengine wote duniani?Kwanini walao binadamu mwingine anaetoka pembezoni au sehemu ingine iwayo duniani hajafunuliwa?Kwahiyo wanadamu wengine woote ni ng'ombe hao wa hapo mashariki ya kati kando ya bahari ndogo ya mediteranian ndio wanadamu bora zaidi kufunuliwa?
 
Biblia haikuandikwa kutabiri yanayotokea sasa...

Nakuliza Tena unaijua historia ya SDA church au tuiweke hapa..

Maana haya mambo ya kutabiri na kutumia vitabu vya Danieli na ufunuo wa Yohana alianza navyo muasisi wenu William Miller...

Ni vizuri tuijue historia
Achana na kwenda mbali kwa Sda churches..hebu nipe ukweli juu ya vitabu vya ufunuo na daniel...kama kweli umesema biblia ilitungwa na wakatorik sasa hebu tupe maana halisi ya yanayoUngumzwa kwenye vitabu vile...usipanik bro mi naamini wasomi hawajibishani kwa shit facts ila katka real facts..
 
[emoji3] [emoji3] binafs siyo msabato ila ukweli unajulikana...nayajua sana mafundisho ya kisabato na kikatoriki nayajua sana zaidi ya wew unavoweza nifikilia...
Unakimbia kivuli chako..?? Unalikimbia dhehebu lako..?

Labda nikupe taarifa hii...Hakuna! Nakuhakikishia hakuna unachokifahamu kuhusu Kanisa Katoliki...

Unachokifahamu wewe ni porojo za mitaani....

Nipo na wewe sambamba hapa....Wasabato bana..
 
Na ukijifanya kwwnda against tunakuumbua sasa na hiyo source ya taarifa hiyo tunaomba utupe ili na sisi tukasome usije kuwa unagoogle halafu na wew unajiona mjanja kwa kufaham website za siri za hiyo mambo ndgo unayoielewa...
 
Achana na kwenda mbali kwa Sda churches..hebu nipe ukweli juu ya vitabu vya ufunuo na daniel...kama kweli umesema biblia ilitungwa na wakatorik sasa hebu tupe maana halisi ya yanayoUngumzwa kwenye vitabu vile...usipanik bro mi naamini wasomi hawajibishani kwa shit facts ila katka real facts..
Upo tayari...???
 
Back
Top Bottom