Ticktock dork
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 466
- 308
Hili swali nimeliuliza ila sipewi majibu mujarab...
Hivi biblia unayoizungumzia ni ipi. ?? Au ni hii Biblia ambayo ni mali na ubunifu wa Kanisa Katoliki...??
Hawa wakatoliki ni ma-genius....Yani unatumia material yao kuwakosoa.. Ndio maana wapo kimya wameamua kuwadharau
Pole sana hata history ya biblia huijui na hata biblia, Nenda kasome injili (Mathayo) utagungunduo hata yesu alisoma moja ya vitabu vya biblia!