Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Basi torati siyo biblia... Hicho ni kitabu..

Canon hii unayoiona kwenye hiyo biblia yako mali wa Wakatoliki japo Martin Luther alipunguza vitabu 7 vya Agano la kale, ilitengenezwa na St Jerome...

Wayahudi hawakuwa na mpango maalumu wa vitabu mf mwanzo, ktoka, kumbukumbu nk.nk...vitabu vyao vilikuwa kimoja kimoja bila kuwa na mkusanyiko...Mtiririko huu unao uona wa vitabu vya Agano la kale i.e Mwanzo mpka kitabu cha Malaki umetengenezwa na Kanisa Katoliki...
 
Mkuu kuwa serious kidogo Tz kuwa jangwa wao wanahusika kivip hapo? Kwani sio sisi watz wenyewe tunaokata miti kwa ajili ya mkaa na kuni? Sasa mvua itapatikanaje ilihali misitu tunavyeka? Jiografia ya form one inatosha kabisa kujua "rain formation"......mkuu hapo kwenye jangwa elaborate plzzzzzz!!

Mkuu huwezi kudili na hawa lunatics...yaani wana maujinga ujinga tu...bongo zao zishaoza kwa kukaririshwa ukristo na dini in general,reasoning waliiacha tangu kindergarten.

Utapoteza muda wako mkuu ku-unformat bongo zao...yaani hizi dini zinaleta matatizo sana hapa duniani
 
Good! Kwa hiyo catholic mafundisho yake ni ya kubuni?
Ina maana kama ni ya kubuni ina maana uongo mwing?
Mafundisho siyo ya kubuni ni mafunuo ya Roho Mtakatifu....Sasa ili kupigilia msumari wa mwisho kwenye mafunuo hayo ikahitajika biblia ku-suit..
 
Kwanza unakubaliana na ukweli mchungu kuwa Biblia ni kitabu cha Wakatoliki..??

Ukwel kwako kwangu ni Myth mpya!

Nijibu je Catholics ni waongo? maana kubuni ni kufanya kitu ambacho hakikuwepo, lakini biblia inatuelezea vitu vilivyokuwa?
 
Mafundisho siyo ya kubuni ni mafunuo ya Roho Mtakatifu....


Mm baada ya kufuatilia mafundsho ya sda ilibid nirud nyuma kujua walitokea wapi hawa watu. Kiukweli nilicheka sana. Nkajua ndo maana wengi ni waongo wamerithi hii dhambibya uongo kutoka kwa waasisi wao pia wameendeleza ujinga wao wa kupingana na Biblia kwa kutabiri mwisho wa dunia na bado wameendelea kujkta katka kutoa nabii za uongo uongo Tu.

Ila kizur kilichopo sda ni kuimba
 
Ukwel kwako kwangu ni Myth mpya!

Nijibu je Catholics ni waongo? maana kubuni ni kufanya kitu ambacho hakikuwepo, lakini biblia inatuelezea vitu vilivyokuwa?
Yes! Ndio maana nikakuambia huu ni ukweli mchungu...Sasa kuanzia leo jua ukweli huu..
 
Mm baada ya kufuatilia mafundsho ya sda ilibid nirud nyuma kujua walitokea wapi hawa watu. Kiukweli nilicheka sana. Nkajua ndo maana wengi ni waongo wamerithi hii dhambibya uongo kutoka kwa waasisi wao pia wameendeleza ujinga wao wa kupingana na Biblia kwa kutabiri mwisho wa dunia na bado wameendelea kujkta katka kutoa nabii za uongo uongo Tu.

Ila kizur kilichopo sda ni kuimba
Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....

Ticktock dork
 
Yes! Ndio maana nikakuambia huu ni ukweli mchungu...Sasa kuanzia leo jua ukweli huu..

Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
 
Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....

Ticktock dork


Afu nikati ya watu wasiotumia akili katka kutafakari neno la Mungu. Labda ni kwa sababu wana mipaka yao iliyokwisha wekwa na G. White .

Ila ushaur wa bure wasabato mjikte katka kutenda mema na kuutafuta huo utakatifu kuliko lisema Kanisa Katoliki. Na hawa Catholics wanawajua vzur ni sawa na unapomjua mbwa jina.

Those catholics they are almost 2000yrs older challenges walizopitia nitofaut sana na mtu asiyetaka kunywa coke [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom