Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!

kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
Yaani mkuu hii point yako hata mie hua ina ifikirisha sana hivi Mungu huyu anaependa watu wake bado anakaa anaangalia tuu ujinga huu ufanywe kwa watu wake
 
mkuu sio kwasababu ni msabath no ni kwasababu kasema ukweli na kama unaona ni uongo njoo na facts za ku criticize[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sasa vipi kuhusu Mzee wa Msoga aliye maliza mda wake nae ni Mkatoliki? Mzee wa Ruksa je?.. ...[emoji45]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom