Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Kwa iyo lengo kubwa ni kusema Roman Catholic n freemasö au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine shirikisha ubongo wako kwanza...!! Una_quote uzi mrefu kwa vimaneno vitatu... AlaaaaaaNice piece of gobbledygook.
Sasa kama mambo yao yapo wazi, mbona mtoa mada anasema mambo yao yanafanywa kwa siri kubwa?Ukweli ni kuwa Jesuit father's website yao iko wazi. Kazi zao zipo wazi search utawapata. Unataka ukweli upi ? www jesuits.org/worldwide
Adolf nicholas....[emoji115] [emoji115]
gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsSafi sana mkuu..yan watu wawaelewi kinachoendelea juu ya mafanikio hayo makubwa ya taasis hizo kama JESUIT ...ukitaka kuelewa juu ya hayo mambo jaribu kuanzisha taasisi kubwa bila kutumia nguvu yao uone kama utafika mbalibau laaa....
Pole mkuu kizazi hiki kinaweka mpaka makalio ya bandia wakati Ni ubunifu wa hao hao Illuminat kina ujanja gani[emoji3525]Hakuna lolote kama walishindwa kufanya dunia iwe under one gvt miaka ya 1700-1900 kipondi ambacho utandawazi haupo ,watu ni wachache,watu ni wajinga wataweza sasa hv kwenye kizazi hiki.
Amna shida tatizo silako nmeona jukwaa la mapenzi ukilalamika mkewako ana ukic.........
Kuwa na utajiri ndo kumpinga Mungu?????Yeah hawa watu nimepata taarifa zao wanae pesa nyingi kinoma utajiri unaofikia $500 trillion sio watu wazuri wanampinga mungu•
Kuwa na utajiri ndo kumpinga Mungu?????Yeah hawa watu nimepata taarifa zao wanae pesa nyingi kinoma utajiri unaofikia $500 trillion sio watu wazuri wanampinga mungu•
Kuwa na utajiri ndo kumpinga Mungu?????Yeah hawa watu nimepata taarifa zao wanae pesa nyingi kinoma utajiri unaofikia $500 trillion sio watu wazuri wanampinga mungu•
Chaajabu nikwamba kanisa halinaYeah hawa watu nimepata taarifa zao wanae pesa nyingi kinoma utajiri unaofikia $500 trillion sio watu wazuri wanampinga mungu•
Internet.orgSasa kama mambo yao yapo wazi, mbona mtoa mada anasema mambo yao yanafanywa kwa siri kubwa?