raphew
Senior Member
- Jul 8, 2016
- 119
- 121
- Thread starter
- #321
Ha ha ha ha safi snaa bro huyu jama hajielew sna..ni zaidi ya zuzu kweli...Ha Ha! Sasa dhehebu(dini) lako linadanganya alafu na ww bado upo umoumo? Una ubongo kweli?(maana nikiuliza akili ntakuwa nakuonea).Anyway hiyo ni juu yako ila cha muhimu tumkumbuke mungu wetu, tuepuke dhambi ili isje kutugharimu hapo baadae!
Sasa kama biblia unayoiamini umesema ilitungwa kujazikiza cjui kusuit mafundisho ya dini /kanisa katoriki ,sasa huoni kuwa bado upo katika mafundisho ya uongo..daaaah..tatizo cjui mnasomaje maandiko..au wew tupe source ya uelewa wako juu ya hayo mambo...we we unayejiita cjui nan otong'orondo...[emoji4] [emoji4]