Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

dunia iliyojaa kila aina ya nadharia
Ewe Mwenyezi tujalie waja wako kuzitambua hila na nia za yule wovu
 
Unaaminije kile alichosema?
 

kuchanganikiwa kunaanzaga ivi........!!! mumuangalie sana huyu jamaa hajui k2 na ana mix mafaili alipo popote mumkamate asije akawatoloka huyu.
 

Kuna tofauti kati ya kuhukumu na kumwambia mtu ukweli! Watu wengi ukiwaambia ukweli wanaona umewahukumu kwasababu ukweli huumiza kwa mtu anayejiona amekamilika!
 
Mtoa post kakurupushwa na fikra za chuki juu ukatoliki, hajui hata km biblia imekusanywa na kuiunda iwe km ilivo hivi
 
Waafrika tutaendelea kuwa jamii ya watu wajinga zaidi duniani
 
Asante mleta uzi upo sawa kbs,wengi wanabisha eti kwa sababu kanisa katoliki imehusika hapa ni kweli usilolijua ni usiku wa giza,yatupasa kuchunguza maandiko na kusali sana ili kujua siri za ufaume wa Mungu,imeandikwa kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,wanamasikio lakini hawasikii,wanamacho lakini hawaoni,ni hakika kuwa unabii unatimia Shetani ni mjanja sana ametega mitego yake pande nyingi ili kumkamata mwanadamu na hana muda wa kupumzika Someni UFUNUO9
 
Ukitaka mficha mwafrika weka ujumbe kwny kitabu...sio siru nimeona uvivu kusoma ndefu mno
 
Wakati New world Order (NWO) inatake off fullbright, alama ya 666 ikitumika kwa watu wote, Yesu atakuwa amerudi, kachukua walio wake. Watakaobaki weeee, moto wake, ndo kipindi watu watatamani milima iwaangukie, haianguki ng'o. watatafuta wachungaji wako wapi, hawapo washaenda zao na yesu wao. Ni kipindi kigumu cha kutisha zana.
 
Kama iv vitu vinatendeka kwa siri kubwa kama unavyosema kwenye maelezo yako sasa ebu tuambie vizur wew umepata wap hiz habar???
Au umepata maono na ww??
 
Udambwidambwi mwiiiiingi. The effective lie is the one near truth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…