Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kwani tatizo nini mkuu? Unateseka?Kwa stlyle hii, utakuwa unauliza maswali, ambayo majibu yake yalishaandikwa kwenye uzi huo huo. Au, ukatoa mawazo/mchango ambao tayari umeshatolewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani tatizo nini mkuu? Unateseka?Kwa stlyle hii, utakuwa unauliza maswali, ambayo majibu yake yalishaandikwa kwenye uzi huo huo. Au, ukatoa mawazo/mchango ambao tayari umeshatolewa!
ahahahaha ukarudshwa changanyikeniMimi nilikuwa nasomeshwa na "compassion " nilivyomaliza bebi clasi nikarudishwa shule za kuunga juhudi.
International School of Moshi (ISM)Tag jina la shule uliyosoma secondary na primary.
1. Shule ya msingi ngaiti
2. Shule ya msingi chikuyu
3. Shule ya msingi heka
Sent using Jamii Forums mobile app
majengo mwaka ganiMagereza primary-Moshi
Mawenzi secondary-Moshi
Majengo secondary-Moshi
majengo mwaka gani
A level 2014/15majengo mwaka gani
St. Bakanja utakuwa ulihama, nina rafiki yangu alisoma uko class of 2016Mwanga primary (kigoma)
Gungu sec (kigoma)
St bakanja sec (kigoma)
Rodan sec (mwanza)
Messa high school (mwamza)
Taqwa high school (mwanza)
Sent using Jamii Forums mobile app
makambako secondaryShule ya msingi Nangurukuru.
Shule ya seko makambako middle school
Shengena wakorofi tu mpaka leo. Na wajanja wote wanakaa uko.Shengena one was my dormitory,class of 2011....watu wa HGL tulipigwa suspension sababu ya ule mgomo me n mmoja wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Majengo kuna visu hatari. Hakuna cha Mary Eugene wala nini. Sema wanajiachia sana na wanabeba sana mimba.majengo mwaka gani
Bakanja niliondoka 2012St. Bakanja utakuwa ulihama, nina rafiki yangu alisoma uko class of 2016
Watoto wa mujini.Bungo pr school- MOROGORO- 2003
We utakuwa wa kishuaGreen Acres primary Dar(mbezi)
St James Serminary (Kilimanjaro)
Udsm( udbs )
[emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786]
Sent using Jamii Forums mobile app