Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

Nawaomba tukutane hapa tuliomaliza form four katika sekondari ya Mpechi-Njombe mwaka 1996
 
Misufini Primary school (Songea, nitaimiss sana hii shule, pale kwa mfaranyaki, mwalimu wangu wa darasa, darasa la 3 alikuwa anaitwa Kimanda, used to like the woman, then kulikuwa na Komeka, Hayati Madanyira, nilikuwa kipanga kweli kweli)
Mzumbe secondary school (Kipindi hicho ilikuwa vipaji maalumu kweli, kila mwaka wanaongoza kitaifa both O level and A level, mpinzani wetu mkubwa alikuwa Ilboru, Balehe ikazingua, nikatimuliwa form 3, familia wakafanya mishe wakabadili kufukuzwa ikawekwa uhamisho-Moja ya utukutu wangu ulikuwa kwenda kuchungulia madada wa chuo cha mzumbe mabwenini wanapokuwa vyumbani, especially wanapotoka kuoga, kuna siku nilikamatwa na walinzi, ilikuwa balaa)
Azania Secondary School (Nikatulia, nikatoka na one yangu nzuri kabisa)
Tambaza High School to Mlimani
 
Tukitaja itatusaidia nini mzee? Elimu yako imekufikisha wapi mpaka hapo ulipo? Je! Umejiajiri ama kuajiriwa?



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Olympio primary school upanga 1999-2005
Bendel Memorial sec school Moshi 2006-2008
Green Acres High school Mbezi beach 2008-2009
Horizon High school Atlanta Georgia 2009-2011
 
Visiwani p/s

Kwa sasa nadhani ni wilaya ya kigamboni kipindi nasoma ilikuwa wilaya ya temeke karibu na kibada huko ukiwa unatoka Tungi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…