We bichwa mbona na wewe kiswahili chako kibaya?!!Aisee unesoma shule za ovyo..nina uhakika kingereza chako ni cha ovyo sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂wee mdogo wako si nilisoma nae Naura Secondary!!
Arando, Mkisi[emoji44][emoji44][emoji44] we ni Afande Kumaliga au?
Haha umemtaja Arando hadi mkojo umebana 😂😂Arando, Mkisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yule Mchaga roho yake ya ushetani Mwaka gani Pale wewe ?Haha umemtaja Arando hadi mkojo umebana [emoji23][emoji23]
Ili uanze kutafuta shikamoo!! 😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mwaka gani Pale ?
Mimi hapo ndio maana nimetulia nawasom kimya kimya, madaftari yana nembo ya elimuNaona wengi humu hawaja pata bahati ya kugawiwa madaftari bure
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizo dharau wewe mbona upo jfMimi nimesoma shule za ndani ndani sana, siwezi kupata school mate wangu humu. Wengi wa ma school mate wangu bado wanapambana kujiunga facebook. Huku jf ni maji marefu sana.
Simaanishi kuwa jf ni jambo la kujisikia saana, ila mimi ni kati ya wachache waliobahatika kufunguka katika mambo kadhaa.Hizo dharau wewe mbona upo jf
Story nzuri yenye mwisho unaosikitisha.Ngoja Na Mimi ni share sehemu ndogo ya Mapito yangu kwenye Elimu
Uhuru Primary Ilala 1975-1977
Mzee akahamishiwa Kibaha.
Mailimoja Primary 1977-8
Kibaha primary 79
Tumbi primary 1980
Nikamalizia la 7
Shule ya msingi chalinze 1981
Baada ya kuhitimu msingi
Nilipita shule hizi secondary
Kibaha sec
Nilifukuzwa kabla hata ya kumaliza unjuka
Nikaenda
Ifunda tec nikiwa 4m 2 tuliiba spare za karakana nikatimuliwa
Iyunga tec sikufanikiwa kumaliza kidato cha 4 Mzee akanichoka
Enzi hizo Uncle alikuwa mwalimu wa Tambaza Nikawa nasoma part time Mpaka nilipopata nafasi kwa mbinde Arusha day
Nikafanikiwa kumaliza elimu ya secondary
Kwa mbinde.... Hiyo 1986
Maisha ya Advance yalikuwa matamu sanaa
A-Level Nilipita Kibaha tena na nikamkuta Mwl Mkuu yule yule aliyenifukuza kwa kosa la kumleta demu usiku kwenye dom za shule Enzi nikiwa njuka na yule demu alikuwa anakaa kwenye Kota za shirika la Elimu kumbe alikuwa ni Binti yake.
Mzee wa watu alikuwa na kinyongo bado nikaundiwa zengwe nikafukuzwa tena nikiwa 5
Nikaona kusoma si riziki na mshua alikuwa mkali sanaa
Hapo nika escape home na kuzamia kenya kipindi hicho kenya walikuwa mabepari.
Nikawa naosha magari na kubrush viatu vya wazungu. Mungu si Athumani kuna kizee cha UK kilikuwa na mashamba yake kakanichuka kakanipeleka huko Eldoret.
Nikawa napiga shamba wakati huo Habari ya home na shule nilikuwa sitaki kusikia kabisa.
Miaka 5 Mbele yule mzee alitembelewa na watoto wake.
Kufupisha history yangu ya Elimu
Mmoja wa watoto wake nilimkula ki masihara na mbaya zaidi yeye aliforce
Binti alipata UjauZito na hakuwa tayar kuniacha
Muhuni Nikapata bahati ya kuzamia UK kisa K tuu!
Mzee wa Binti alipata fadhaa sanaa.
Ikabidi anipeleke Kozi ili niendane na Binti yake na hapo ndipo milango yangu ya Elimu ikafunguka na Nikafanikiwa kusoma vyuo vikuu bora.
Binti alifariki akaniachia mapacha wa 2
Na baada ya miaka 15
2005
Ndipo nirirudi nyumban Tz baada ya zaidi ya miaka 10+
Mpaka sasa nafahamu
Kila kinachotokea ni mpango wa MUNGU na hutokea kwa Makusudio.
Marahaba mdogo wangu muhenga[emoji23][emoji23]Ni wa 1980
Dhaaaaa aiseee nimekuta nasoma kwa makinii.Ngoja Na Mimi ni share sehemu ndogo ya Mapito yangu kwenye Elimu
Uhuru Primary Ilala 1975-1977
Mzee akahamishiwa Kibaha.
Mailimoja Primary 1977-8
Kibaha primary 79
Tumbi primary 1980
Nikamalizia la 7
Shule ya msingi chalinze 1981
Baada ya kuhitimu msingi
Nilipita shule hizi secondary
Kibaha sec
Nilifukuzwa kabla hata ya kumaliza unjuka
Nikaenda
Ifunda tec nikiwa 4m 2 tuliiba spare za karakana nikatimuliwa
Iyunga tec sikufanikiwa kumaliza kidato cha 4 Mzee akanichoka
Enzi hizo Uncle alikuwa mwalimu wa Tambaza Nikawa nasoma part time Mpaka nilipopata nafasi kwa mbinde Arusha day
Nikafanikiwa kumaliza elimu ya secondary
Kwa mbinde.... Hiyo 1986
Maisha ya Advance yalikuwa matamu sanaa
A-Level Nilipita Kibaha tena na nikamkuta Mwl Mkuu yule yule aliyenifukuza kwa kosa la kumleta demu usiku kwenye dom za shule Enzi nikiwa njuka na yule demu alikuwa anakaa kwenye Kota za shirika la Elimu kumbe alikuwa ni Binti yake.
Mzee wa watu alikuwa na kinyongo bado nikaundiwa zengwe nikafukuzwa tena nikiwa 5
Nikaona kusoma si riziki na mshua alikuwa mkali sanaa
Hapo nika escape home na kuzamia kenya kipindi hicho kenya walikuwa mabepari.
Nikawa naosha magari na kubrush viatu vya wazungu. Mungu si Athumani kuna kizee cha UK kilikuwa na mashamba yake kakanichuka kakanipeleka huko Eldoret.
Nikawa napiga shamba wakati huo Habari ya home na shule nilikuwa sitaki kusikia kabisa.
Miaka 5 Mbele yule mzee alitembelewa na watoto wake.
Kufupisha history yangu ya Elimu
Mmoja wa watoto wake nilimkula ki masihara na mbaya zaidi yeye aliforce
Binti alipata UjauZito na hakuwa tayar kuniacha
Muhuni Nikapata bahati ya kuzamia UK kisa K tuu!
Mzee wa Binti alipata fadhaa sanaa.
Ikabidi anipeleke Kozi ili niendane na Binti yake na hapo ndipo milango yangu ya Elimu ikafunguka na Nikafanikiwa kusoma vyuo vikuu bora.
Binti alifariki akaniachia mapacha wa 2
Na baada ya miaka 15
2005
Ndipo nirirudi nyumban Tz baada ya zaidi ya miaka 10+
Mpaka sasa nafahamu
Kila kinachotokea ni mpango wa MUNGU na hutokea kwa Makusudio.
da mkuu niambie ulipita mwaka gani mazengo high school inawezekana tulikuwa wote mimi PCBMor sec
Same sec
St Anthony sec mbagala
Mazengo high school- combination PGM
Sent using Jamii Forums mobile app
kibaha sec ulikuwa unakaa dom gani scandia au yale ya juuu?mkuu uliyemkula mtoto wake ni huyu mwampaja au msaki?Ngoja Na Mimi ni share sehemu ndogo ya Mapito yangu kwenye Elimu
Uhuru Primary Ilala 1975-1977
Mzee akahamishiwa Kibaha.
Mailimoja Primary 1977-8
Kibaha primary 79
Tumbi primary 1980
Nikamalizia la 7
Shule ya msingi chalinze 1981
Baada ya kuhitimu msingi
Nilipita shule hizi secondary
Kibaha sec
Nilifukuzwa kabla hata ya kumaliza unjuka
Nikaenda
Ifunda tec nikiwa 4m 2 tuliiba spare za karakana nikatimuliwa
Iyunga tec sikufanikiwa kumaliza kidato cha 4 Mzee akanichoka
Enzi hizo Uncle alikuwa mwalimu wa Tambaza Nikawa nasoma part time Mpaka nilipopata nafasi kwa mbinde Arusha day
Nikafanikiwa kumaliza elimu ya secondary
Kwa mbinde.... Hiyo 1986
Maisha ya Advance yalikuwa matamu sanaa
A-Level Nilipita Kibaha tena na nikamkuta Mwl Mkuu yule yule aliyenifukuza kwa kosa la kumleta demu usiku kwenye dom za shule Enzi nikiwa njuka na yule demu alikuwa anakaa kwenye Kota za shirika la Elimu kumbe alikuwa ni Binti yake.
Mzee wa watu alikuwa na kinyongo bado nikaundiwa zengwe nikafukuzwa tena nikiwa 5
Nikaona kusoma si riziki na mshua alikuwa mkali sanaa
Hapo nika escape home na kuzamia kenya kipindi hicho kenya walikuwa mabepari.
Nikawa naosha magari na kubrush viatu vya wazungu. Mungu si Athumani kuna kizee cha UK kilikuwa na mashamba yake kakanichuka kakanipeleka huko Eldoret.
Nikawa napiga shamba wakati huo Habari ya home na shule nilikuwa sitaki kusikia kabisa.
Miaka 5 Mbele yule mzee alitembelewa na watoto wake.
Kufupisha history yangu ya Elimu
Mmoja wa watoto wake nilimkula ki masihara na mbaya zaidi yeye aliforce
Binti alipata UjauZito na hakuwa tayar kuniacha
Muhuni Nikapata bahati ya kuzamia UK kisa K tuu!
Mzee wa Binti alipata fadhaa sanaa.
Ikabidi anipeleke Kozi ili niendane na Binti yake na hapo ndipo milango yangu ya Elimu ikafunguka na Nikafanikiwa kusoma vyuo vikuu bora.
Binti alifariki akaniachia mapacha wa 2
Na baada ya miaka 15
2005
Ndipo nirirudi nyumban Tz baada ya zaidi ya miaka 10+
Mpaka sasa nafahamu
Kila kinachotokea ni mpango wa MUNGU na hutokea kwa Makusudio.
Mmmh. 🤔🤔Nguvumali primary school
Haki secondary school
Coastal high school
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufukuzwa tena shule AdvanceDhaaaaa aiseee nimekuta nasoma kwa makinii.
Samahani lakini vipi na swala la mzee alijua,kuwa ulienda u.k kipindi hichoo.
Na vipi ulivyo rudii ilikuwaje kwa wazazi.
Sent using Jamii Forums mobile app