Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

Ngoja Na Mimi ni share sehemu ndogo ya Mapito yangu kwenye Elimu

Uhuru Primary Ilala 1975-1977
Mzee akahamishiwa Kibaha.
Mailimoja Primary 1977-8
Kibaha primary 79
Tumbi primary 1980
Nikamalizia la 7
Shule ya msingi chalinze 1981

Baada ya kuhitimu msingi
Nilipita shule hizi secondary

Kibaha sec
Nilifukuzwa kabla hata ya kumaliza unjuka
Nikaenda
Ifunda tec nikiwa 4m 2 tuliiba spare za karakana nikatimuliwa
Iyunga tec sikufanikiwa kumaliza kidato cha 4 Mzee akanichoka
Enzi hizo Uncle alikuwa mwalimu wa Tambaza Nikawa nasoma part time Mpaka nilipopata nafasi kwa mbinde Arusha day

Nikafanikiwa kumaliza elimu ya secondary
Kwa mbinde.... Hiyo 1986


Maisha ya Advance yalikuwa matamu sanaa
A-Level Nilipita Kibaha tena na nikamkuta Mwl Mkuu yule yule aliyenifukuza kwa kosa la kumleta demu usiku kwenye dom za shule Enzi nikiwa njuka na yule demu alikuwa anakaa kwenye Kota za shirika la Elimu kumbe alikuwa ni Binti yake.
Mzee wa watu alikuwa na kinyongo bado nikaundiwa zengwe nikafukuzwa tena nikiwa 5

Nikaona kusoma si riziki na mshua alikuwa mkali sanaa
Hapo nika escape home na kuzamia kenya kipindi hicho kenya walikuwa mabepari.
Nikawa naosha magari na kubrush viatu vya wazungu. Mungu si Athumani kuna kizee cha UK kilikuwa na mashamba yake kakanichuka kakanipeleka huko Eldoret.
Nikawa napiga shamba wakati huo Habari ya home na shule nilikuwa sitaki kusikia kabisa.

Miaka 5 Mbele yule mzee alitembelewa na watoto wake.
Kufupisha history yangu ya Elimu

Mmoja wa watoto wake nilimkula ki masihara na mbaya zaidi yeye aliforce
Binti alipata UjauZito na hakuwa tayar kuniacha
Muhuni Nikapata bahati ya kuzamia UK kisa K tuu!
Mzee wa Binti alipata fadhaa sanaa.
Ikabidi anipeleke Kozi ili niendane na Binti yake na hapo ndipo milango yangu ya Elimu ikafunguka na Nikafanikiwa kusoma vyuo vikuu bora.

Binti alifariki akaniachia mapacha wa 2
Na baada ya miaka 15
2005
Ndipo nirirudi nyumban Tz baada ya zaidi ya miaka 10+

Mpaka sasa nafahamu
Kila kinachotokea ni mpango wa MUNGU na hutokea kwa Makusudio.
Story nzuri yenye mwisho unaosikitisha.
 
Ngoja Na Mimi ni share sehemu ndogo ya Mapito yangu kwenye Elimu

Uhuru Primary Ilala 1975-1977
Mzee akahamishiwa Kibaha.
Mailimoja Primary 1977-8
Kibaha primary 79
Tumbi primary 1980
Nikamalizia la 7
Shule ya msingi chalinze 1981

Baada ya kuhitimu msingi
Nilipita shule hizi secondary

Kibaha sec
Nilifukuzwa kabla hata ya kumaliza unjuka
Nikaenda
Ifunda tec nikiwa 4m 2 tuliiba spare za karakana nikatimuliwa
Iyunga tec sikufanikiwa kumaliza kidato cha 4 Mzee akanichoka
Enzi hizo Uncle alikuwa mwalimu wa Tambaza Nikawa nasoma part time Mpaka nilipopata nafasi kwa mbinde Arusha day

Nikafanikiwa kumaliza elimu ya secondary
Kwa mbinde.... Hiyo 1986


Maisha ya Advance yalikuwa matamu sanaa
A-Level Nilipita Kibaha tena na nikamkuta Mwl Mkuu yule yule aliyenifukuza kwa kosa la kumleta demu usiku kwenye dom za shule Enzi nikiwa njuka na yule demu alikuwa anakaa kwenye Kota za shirika la Elimu kumbe alikuwa ni Binti yake.
Mzee wa watu alikuwa na kinyongo bado nikaundiwa zengwe nikafukuzwa tena nikiwa 5

Nikaona kusoma si riziki na mshua alikuwa mkali sanaa
Hapo nika escape home na kuzamia kenya kipindi hicho kenya walikuwa mabepari.
Nikawa naosha magari na kubrush viatu vya wazungu. Mungu si Athumani kuna kizee cha UK kilikuwa na mashamba yake kakanichuka kakanipeleka huko Eldoret.
Nikawa napiga shamba wakati huo Habari ya home na shule nilikuwa sitaki kusikia kabisa.

Miaka 5 Mbele yule mzee alitembelewa na watoto wake.
Kufupisha history yangu ya Elimu

Mmoja wa watoto wake nilimkula ki masihara na mbaya zaidi yeye aliforce
Binti alipata UjauZito na hakuwa tayar kuniacha
Muhuni Nikapata bahati ya kuzamia UK kisa K tuu!
Mzee wa Binti alipata fadhaa sanaa.
Ikabidi anipeleke Kozi ili niendane na Binti yake na hapo ndipo milango yangu ya Elimu ikafunguka na Nikafanikiwa kusoma vyuo vikuu bora.

Binti alifariki akaniachia mapacha wa 2
Na baada ya miaka 15
2005
Ndipo nirirudi nyumban Tz baada ya zaidi ya miaka 10+

Mpaka sasa nafahamu
Kila kinachotokea ni mpango wa MUNGU na hutokea kwa Makusudio.
Dhaaaaa aiseee nimekuta nasoma kwa makinii.

Samahani lakini vipi na swala la mzee alijua,kuwa ulienda u.k kipindi hichoo.

Na vipi ulivyo rudii ilikuwaje kwa wazazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja Na Mimi ni share sehemu ndogo ya Mapito yangu kwenye Elimu

Uhuru Primary Ilala 1975-1977
Mzee akahamishiwa Kibaha.
Mailimoja Primary 1977-8
Kibaha primary 79
Tumbi primary 1980
Nikamalizia la 7
Shule ya msingi chalinze 1981

Baada ya kuhitimu msingi
Nilipita shule hizi secondary

Kibaha sec
Nilifukuzwa kabla hata ya kumaliza unjuka
Nikaenda
Ifunda tec nikiwa 4m 2 tuliiba spare za karakana nikatimuliwa
Iyunga tec sikufanikiwa kumaliza kidato cha 4 Mzee akanichoka
Enzi hizo Uncle alikuwa mwalimu wa Tambaza Nikawa nasoma part time Mpaka nilipopata nafasi kwa mbinde Arusha day

Nikafanikiwa kumaliza elimu ya secondary
Kwa mbinde.... Hiyo 1986


Maisha ya Advance yalikuwa matamu sanaa
A-Level Nilipita Kibaha tena na nikamkuta Mwl Mkuu yule yule aliyenifukuza kwa kosa la kumleta demu usiku kwenye dom za shule Enzi nikiwa njuka na yule demu alikuwa anakaa kwenye Kota za shirika la Elimu kumbe alikuwa ni Binti yake.
Mzee wa watu alikuwa na kinyongo bado nikaundiwa zengwe nikafukuzwa tena nikiwa 5

Nikaona kusoma si riziki na mshua alikuwa mkali sanaa
Hapo nika escape home na kuzamia kenya kipindi hicho kenya walikuwa mabepari.
Nikawa naosha magari na kubrush viatu vya wazungu. Mungu si Athumani kuna kizee cha UK kilikuwa na mashamba yake kakanichuka kakanipeleka huko Eldoret.
Nikawa napiga shamba wakati huo Habari ya home na shule nilikuwa sitaki kusikia kabisa.

Miaka 5 Mbele yule mzee alitembelewa na watoto wake.
Kufupisha history yangu ya Elimu

Mmoja wa watoto wake nilimkula ki masihara na mbaya zaidi yeye aliforce
Binti alipata UjauZito na hakuwa tayar kuniacha
Muhuni Nikapata bahati ya kuzamia UK kisa K tuu!
Mzee wa Binti alipata fadhaa sanaa.
Ikabidi anipeleke Kozi ili niendane na Binti yake na hapo ndipo milango yangu ya Elimu ikafunguka na Nikafanikiwa kusoma vyuo vikuu bora.

Binti alifariki akaniachia mapacha wa 2
Na baada ya miaka 15
2005
Ndipo nirirudi nyumban Tz baada ya zaidi ya miaka 10+

Mpaka sasa nafahamu
Kila kinachotokea ni mpango wa MUNGU na hutokea kwa Makusudio.
kibaha sec ulikuwa unakaa dom gani scandia au yale ya juuu?mkuu uliyemkula mtoto wake ni huyu mwampaja au msaki?
 
Dhaaaaa aiseee nimekuta nasoma kwa makinii.

Samahani lakini vipi na swala la mzee alijua,kuwa ulienda u.k kipindi hichoo.

Na vipi ulivyo rudii ilikuwaje kwa wazazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufukuzwa tena shule Advance
Niliogopa kurudi home maana Baba alikuwa mkali sanaa na hapo Siyo siri ALINICHOKA kwa visa vyangu.
Nikaona isiwe kesi ikabidi Nitoroke Tu.
Kimya pasipo kwenda home.
Hiyo ilikuwa nakumbuka 1987 Mwishoni.
Nikaja kurudi home 2005 Mwanzoni.


So hakujua nipo wapi kipindi chote.

Niiporudi Nguvu ya Pesa Iliwafanya wanyong'onyee.
 
Back
Top Bottom