Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma 👉🏼 Hapa.Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Target yako yakuvuta mkwanja kwa Bibi na babu imefeli mkuu 😆😂Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Wosia wa marehemu unasemajeMimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Wosia wa marehemu unasemajeMimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Mjukuu Anaweza kabisa kupata gawio la mirathi kwa kupitia wazazi wake hata kama wamefariki kabla ya babu na Bibi.Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Labda itembee dhulma na tamaa ya mali ya kutisha, lakini mgao wake upo pale pale hata bila ya maandishi.Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Wapi huko wanafanya hivyo mkuu?Hakuna kitu kama hicho, mama yake alipokufa kabla ya wazazi wakati automatically urithi wake ulifutika, watarithi watoto kama wapo na sio wajukuu
Naongelea sheria hapa siongelei mazoea wanayofanya watuWapi huko wanafanya hivyo mkuu?
Mgao wa mirathi ya marehemu mama yake ungelifutika iwapo angelikuwa hana mtoto.
Lakini kwa issue hii mgao wake upo na utakwenda kwa mwanaye/wanaye.
Sheria ipi hiyo mkuu? Kwa sheria ya Tanzania, ukiondoa kama familia haitachagua Mila au dini ya kiislam, basi mjukuu atarithi kupitia mzazi wake.Naongelea sheria hapa siongelei mazoea wanayofanya watu
Acha ubishi leta kifungu iwe Cha sheria za kimila, za kiislamu au serikali inayomtambua mjukuu katika urithi, ukileta nakutumia 50k nisipofanya hivo tag mods wote nipigwe ban hata mweziSheria ipi hiyo mkuu? Kwa sheria ya Tanzania, ukiondoa kama familia haitachagua Mila au dini ya kiislam, basi mjukuu atarithi kupitia mzazi wake.
Pia mjukuu kama moja kwa moja aliishi na Bibi na babu yake na akasaidia kazi na biashara zako, basi Anaweza kurithi moja kwa moja bila kutegemea mzazi.
Unayoongelea wewe ndiyo yanaitwa "mazoea"
Indian Succession Act,1925 Section 40(2)(iii) and (iv).Acha ubishi leta kifungu iwe Cha sheria za kimila, za kiislamu au serikali inayomtambua mjukuu katika urithi, ukileta nakutumia 50k nisipofanya hivo tag mods wote nipigwe ban hata mwezi
na watu wengi naona wana sema mohamedan law ooh mjukuu harithi mjukuu harithi. nani aliwaambia.?? kwenye islamic law kuna makundi maalum yanayopata urithi kwa upande wa wanaume yapo 10 kwa wanawake yapo 15. na ishu ya mjukuu naweza kusema mjukuu yupo katika kundi la wanaostahik kupata mgao isipokuwa hawana fungu maalum.ni sheria ndefu kidogo kwa mfano katika marehem lets say babu kafa kaacha watoto wawili mmoja wa kike mmoja wa kiume na watoto wa marehem mwanae aliyefariki labda miaka mingi iliyopita i.e wajukuu. hapa wajukuuu wa huyu babu watazuiwa kurithi sababu liyowazuia ni kuwepo kwa huyu mtoto wa kiume wa babu.ila kwa mfano ingekuwa kabak mtoto mmoja wa kike na hawa grandchildren bas nusu ya mali ni ya huyu mtoto wa kike na nusu inaenda kwa ndugu wa karibu wa babu.sasa hapo ndio wataangaliwa kaka zake,shangaz zake baba zake wadogo, wakubwa.na hapa ni kama wajukuu baba yao alitangulia. ikiwa babu yao alifariki wanaingia moja kwa moja kwenye mirathi sabab wanarith alichopaswa kurithi baba yao na vizaz vyake na itaenda mpaka kwa vilembwe vinyingina mpaka vitukuu.nashangaa sana wanaropokwa watu bila kuchimba elimu na masheh sijui hawamo JF wawe wanazidefend accusation kama hizi.Sheria ipi hiyo mkuu? Kwa sheria ya Tanzania, ukiondoa kama familia haitachagua Mila au dini ya kiislam, basi mjukuu atarithi kupitia mzazi wake.
Pia mjukuu kama moja kwa moja aliishi na Bibi na babu yake na akasaidia kazi na biashara zako, basi Anaweza kurithi moja kwa moja bila kutegemea mzazi.
Unayoongelea wewe ndiyo yanaitwa "mazoea"