Mjukuu anaweza kupata mirathi kutoka kwa wazee wake bila maandishi?

Mjukuu anaweza kupata mirathi kutoka kwa wazee wake bila maandishi?

Mjukuu Anaweza kabisa kupata gawio la mirathi kwa kupitia wazazi wake hata kama wamefariki kabla ya babu na Bibi.
Mi na ndg zangu Mjomba wetu alitunyima mirathi ya Bibi yetu kisa tu eti Mama yetu alifariki kabla Bibi hajafariki, ndg wakasema kisheria ya kiislamu ni kua mama yetu kakimbia Urithi wake kwa kufa mapema kabla Bibi hajafa!!
 
Hakuna kitu kama hicho, mama yake alipokufa kabla ya wazazi wakati automatically urithi wake ulifutika, watarithi watoto kama wapo na sio wajukuu
Na mi mjomba wangu alisema hivyo hivyo, yeye kamfuta mama yangu kwenye Urithi, na mimi sasa hivi nimemfuta mjomba kwenye undugu, hata akinipiga kizinga huwa namtosa mazima hadi kajistukia kua tusha mfungia vioo kitambo sana!!
 
Mirathi kwa Tanzania zina utata sana, kwa kuwa zinaendeshwa kwa sheria tatu kama siyo nne tofauti.

Kuna sheria za Kiislam. Waislam hawafati sheria za nchi au mila na desturi mpaka ithibitike kuwa walijitowa kwenye Uislam.

Kiislam mirathi wala haina tatizo, imeshainishwa wazi kabisa kwenye Qur'an. nani warithi na vipi mali inawsanywe.

Kwanza kabisa Kiidslam, mtu anapokufa, mali yake imzike. Siyo kufanyiwa michango ya kitapeli.

Pili, mali yake ilipe madeni yake yoyote aliyoyaacha marehemu.

Kinachobaki ikiwa ni mali au madeni basi vigawanyishwe kwa mujibu wa Qur'an.

Mjukuu hamrithi babu wala bibi ka,a wameacha watoto n warithi wengine wanaokubalika.

Ikiwa babu au bibi aliwacha wposia, apewe mjukuu, basi hata kama alisema apewe zote, hatopeewa zqaidi ya ya moja ya tatu ya alivyowacha marehemu. Na hii ni kwa wote wanaoachiwa wosia, siyo kwa mjukuu tu.

Kiislam, ukisema uiseme huyu arithi au asirithi haifatwi kauli yako inafatwa mwongozo wa shwria a mirathi.

Kama unapenda kumpa mtu mali yako, mpe ukiwa hai, huingiliwi na mtu. Siyo utunge sheria mpya mirathi.
 
Mi na ndg zangu Mjomba wetu alitunyima mirathi ya Bibi yetu kisa tu eti Mama yetu alifariki kabla Bibi hajafariki, ndg wakasema kisheria ya kiislamu ni kua mama yetu kakimbia Urithi wake kwa kufa mapema kabla Bibi hajafa!!
Hakukosea, lakini kuna njia nyingi za ku-defeat maamuzi hayo kutokana na sababu mbalimbali na ukiweza kuzi-prove.
 
Hakukosea, lakini kuna njia nyingi za ku-defeat maamuzi hayo kutokana na sababu mbalimbali na ukiweza kuzi-prove.
Hakuna sababu katika Uislam itaizidi Qur'an. Labda uoneshe kwa ushahidi unaokubalika Kiislam kuwa marehemu hakuwa Muislam (aliritadi).
 
Mi na ndg zangu Mjomba wetu alitunyima mirathi ya Bibi yetu kisa tu eti Mama yetu alifariki kabla Bibi hajafariki, ndg wakasema kisheria ya kiislamu ni kua mama yetu kakimbia Urithi wake kwa kufa mapema kabla Bibi hajafa!!
Sawa kabisa, Mwenye kurithi ni mama yenu, siyo marehemu mama yenu.
 
Sawa kabisa, Mwenye kurithi ni mama yenu, siyo marehemu mama yenu.
Sawa Mama ni Marehemu, lakini watoto wake bado tuko hai, kwa nini wasitupe fungu la Mama yetu!? Au Mama akifa na undugu nao unakufa ndiyo maana mirathi haitutambui!?
 
Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Ni Muislamu au vipi?
 
Sawa Mama ni Marehemu, lakini watoto wake bado tuko hai, kwa nini wasitupe fungu la Mama yetu!? Au Mama akifa na undugu nao unakufa ndiyo maana mirathi haitutambui!?
Mama yenu na bibi yenu nani alikufa kwanza?

Kama. Alikufa kwanza mama yenu, basi hana fungu lw mirathi. Mirathi haimuhusu kabisa yeye.

Kama alikufa kwanza bibi yenu basi fungu la mirathi linamuhusu mama yenu.

Nani alitangulia kufa, bibi au mama yenu?
 
Mama yenu na bibi yenu nani alikufa kwanza?

Kama. Alikufa kwanza mama yenu, basi hana fungu lw mirathi. Mirathi haimuhusu kabisa yeye.

Kama alikufa kwanza bibi yenu basi fungu la mirathi linamuhusu mama yenu.

Nani alitangulia kufa, bibi au mama yenu?
Alitangulia Mama ndiyo tukaambiwa na mjomba kua hatuna chetu maana Mama yetu kufa kabla ya Bibi inamaana kakimbia Urithi yeye mwenyewe, lakini Bibi yetu alisema hizi ni mali za watoto wangu na wajukuu wangu, lakini Bibi alipofariki mjomba akatuguweka, ndugu zangu wakasema tumburuze mjomba mahakamani nikawaambia tuaachane nae na sisi tumtenge kiaina hata akilia shida kila mtu ajifanye nae ana shida apambane na hali yake mwenyewe!!
 
Sawa Mama ni Marehemu, lakini watoto wake bado tuko hai, kwa nini wasitupe fungu la Mama yetu!? Au Mama akifa na undugu nao unakufa ndiyo maana mirathi haitutambui!?
Mama yenu na bibi yenu nani alikufa kwanza?

Kama. Alikufa kwanza mama yenu, basi hana fungu lw mirathi. Mirathi haimuhusu kabisa yeye.

Kama alikufa kwanza bibi yenu basi fungu la mirqthhininwmuhusu mqmq yenu.
Alitangulia Mama ndiyo tukaambiwa na mjomba kua hatuna chetu maana Mama yetu kufa kabla ya Bibi inamaana kakimbia Urithi yeye mwenyewe, lakini Bibi yetu alisema hizi ni mali za watoto wangu na wajukuu wangu, lakini Bibi alipofariki mjomba akatuguweka, ndugu zangu wakasema tumburuze mjomba mahakamani nikawaambia tuaachane nae na sisi tumtenge kiaina hata akilia shida kila mtu ajifanye nae ana shida apambane na hali yake mwenyewe!!
Bibi yako hajafanya kosa kusema hizo ni mali za wanawe, kwa maana wazazi wote ndiyo tubavyoomba, tutangulie sisi watoto zetu waturithi. Kwa kudra za Mwenyezi Mubgu akatangulia mwanae kabla yake. Kwa hiyo mali inabaki kuwa ya wanawe aaliopo siyo wajukuu zake.

Hapo hakuna chenu.

Ingekuwa mali ya mama yenu si bibi yenu angewapa wakati yupo hai?


. Hapo ondoweni tamaa, hakuna chenu. Hata mkishitaki wapi, hamtoshinda kesi. Mjombaenu yupo sahihi.

Hilo kwa mujibu wa sheria za mirathi Kiislam.
 
Mama yenu na bibi yenu nani alikufa kwanza?

Kama. Alikufa kwanza mama yenu, basi hana fungu lw mirathi. Mirathi haimuhusu kabisa yeye.

Kama alikufa kwanza bibi yenu basi fungu la mirqthhininwmuhusu mqmq yenu.

Bibi yako hajafanya kosa kusema hizo ni mali za wanawe, kwa maana wazazi wote ndiyo tubavyoomba, tutangulie sisi watoto zetu waturithi. Kwa kudra za Mwenyezi Mubgu akatangulia mwanae kabla yake. Kwa hiyo mali inabaki kuwa ya wanawe aaliopo siyo wajukuu zake.

Hapo hakuna chenu.

Ingekuwa mali ya mama yenu si bibi yenu angewapa wakati yupo hai?


. Hapo ondoweni tamaa, hakuna chenu. Hata mkishitaki wapi, hamtoshinda kesi. Mjombaenu yupo sahihi.

Hilo kwa mujibu wa sheria za mirathi Kiislam.
Kumbuka ile kauli ya Bibi akiwa hai ya kusema kua hizi mali za watoto na wajuku zangu,huo ni wosia tayari,maana bibi aliyasema hayo akijua kabisa kesha mzika mwanawe na mwanawe ana watoto kaacha!!
 
Kumbuka ile kauli ya Bibi akiwa hai ya kusema kua hizi mali za watoto na wajuku zangu,huo ni wosia tayari,maana bibi aliyasema hayo akijua kabisa kesha mzika mwanawe na mwanawe ana watoto kaacha!!
Hakuna wosia hapo.

Hayo ni maneno ya kila siku ya wazazi.

. Wacheni tamaa, wajukuu hamna chenu hapo.
 
Hakuna wosia hapo.

Hayo ni maneno ya kila siku ya wazazi.

. Wacheni tamaa, wajukuu hamna chenu hapo.
Lakini kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania haki tunayo,lakini kwa mujibu wa tamaduni za mwarabu ndiyo hatuna haki wajukuu!!
 
Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Anapata
 
Hii ni lugha ya kitapeli umetumia,mahakamani unafungwa wwe!!
Ukweli siku zote ni mchungu, ipelekeni kesi yenu mahakamani, kama hamjalipa gharama zote za mahakama na za mnazowashitaki.

Tapeli ni yule anayedai urithi ambao hahusiki nao kabisa tena.
 
Mimi Nina Rafiki yangu amefarikiwa na mama yake muda mrefu sasa na babu na bibi yake pia wamefariki karibuni vip anaweza pata miradhi kwa kupitia mama yake, Babu na bibi hawakuacha maandishi yoyote.
Labda babu na bibi hawakuwa na watoto wengine wakuwarithi au siyo Waislam.
 
Back
Top Bottom