covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Marehemu Angekuwa hajazaa sawa ila maadam alizaa na ni marehemu basi mgawa wake wa mirathi atapewa huyo mtoto ambaye ni mjukuu wa hao wazee.Labda babu na bibi hawakuwa na watoto wengine wakuwarithi au siyo Waislam.