Ushahidi siyo lazima uwe "unakublika kiislam" bali unakubalika kimahakama na hakimu anaweza kuwa mkristo na kuamua kesi isikilizwe kimila au kiseriakli kutokana na ushahidi uliokuwepo
Kama kuna mashahidi oral wassiyah unakubalika katika sheria za kiislam.
Pia kuna obligatory wasiyah, ambapo kidini ni wajibu kutenga si zaidi ya theluthi moja kwa maskini au ndugu wa mbali (inahusisha wajukuu pia) hata kama sio waislam.
Kuipa madeni pia ni moja ya obligatory wassiyah, yaani ni lazima kidini.
Kwa hiyo mirathi ya kiislamu haipo kirahisi kama mnavyotafsiri na ndiyo maana kunahitajika kadhi, tofauti na Tanzania Bara ambapo hata jaji mkristo anaweza kuamua mirathi ya kiislam.