Mjukuu wa Mandela: Babu angekuwapo angewaunga mkono HAMAS na Wapalestina dhidi ya Israel!

Mjukuu wa Mandela: Babu angekuwapo angewaunga mkono HAMAS na Wapalestina dhidi ya Israel!

Nani Mchokozi,Palestina anamchokonoa Israel kisha anaomba huruma.

1. Wewe hujui kuwa Palestina inadai uhuru wake?

IMG_1567.jpg


2. Kwa hiyo mkoloni na mtawaliwa, mchokozi Kumbe nani?
 
1. Wewe hujui kuwa Palestina inadai uhuru wake?

View attachment 2988346

2. Kwa hiyo mkoloni na mtawaliwa, mchokozi Kumbe nani?
Palestina amepigiwa kura leo baada ya kuomba kujiunga na umoja wa mataifa UN na amepata kura za Ndio zaidi ya 139

Bado mnasema Palestina Insta wakiwa na Israel?

Anabendela yake kabisa na Mpaka ya nchi yake inajulikana bado huelewi nin?

Acha na Kibangu hicho Mandela ni moja kati wa watu walio irudisha nyuma SA.

Mpaka sasa bado ni nchi ya Kibaguzi.
 
Bro mimi si peani hoja na vichaa Weka mfano dhahiri tuzungumze.

Palestina ni Taifa huru same to Israel sasa sijui nan katawaliwa hapo.

1. Wewe unajua kuwa Palestina ni taifa huru?

IMG_20240511_235025.jpg


2. Unatambua maana ya matamko hayo au haya hapa chini?

IMG_20240511_235111.jpg


3. Au uliwahi kusikia kauli kama hizo kwa Tanzania, Kenya, Brazil au taifa jingine lolote huru?
 
Palestina amepigiwa kura leo baada ya kuomba kujiunga na umoja wa mataifa UN na amepata kura za Ndio zaidi ya 139

1. Ulisikia Tanzania au taifa jingine lolote linapigiwa kura hivi UN? Kwa Nini Palestina?

2. Haya ya Slovania nayo kwa nchi nyingine nayo uliwahi kuyasikia? Kwa nini Palestina?

IMG_20240511_235025.jpg


Bado mnasema Palestina Insta wakiwa na Israel?

Anabendela yake kabisa na Mpaka ya nchi yake inajulikana bado huelewi nin?

3. Kwa hiyo unadhani hawa wanaofanya jitihada atambuliwe kuwa taifa huru ni wajinga ila wewe?

IMG_20240512_000948.jpg


4. Kuna na hili la Mandela uhuru wa Palestina:

IMG_1567 (1).jpg


5. Labda unajua ilipata uhuru lini ndugu?


Acha na Kibangu hicho Mandela ni moja kati wa watu walio irudisha nyuma SA.

Mpaka sasa bado ni nchi ya Kibaguzi.

6. Mandela Kwa kutambua mchango wake alipata hadi zawadi ya nobeli na dunia ina mtambua mchango wake SA na duniani, ila wewe unadhani u Bora kuliko yeye?

7. Labda unadhani wangekutambua wewe kuliko Mandela ingekuwa Bora zaidi?

8. Hudhani huu wako unaweza kuwa ni ugonjwa kama wa MK254, tu ndugu?
 
1. Ulisikia Tanzania au taifa jingine lolote linapigiwa kura hivi UN? Kwa Nini Palestina?

2. Haya ya Slovania nayo kwa nchi nyingine nayo uliwahi kuyasikia? Kwa nini Palestina?

View attachment 2988367



3. Kwa hiyo unadhani hawa wanaofanya jitihada atambuliwe kuwa taifa huru ni wajinga ila wewe?

View attachment 2988368

4. Kuna na hili la Mandela uhuru wa Palestina:

View attachment 2988369

5. Labda unajua ilipata uhuru lini ndugu?




6. Mandela Kwa kutambua mchango wake alipata hadi zawadi ya nobeli na dunia ina mtambua mchango wake SA na duniani, ila wewe unadhani u Bora kuliko yeye?

7. Labda unadhani wangekutambua wewe kuliko Mandela ingekuwa Bora zaidi?

8. Hudhani huu wako unaweza kuwa ni ugonjwa kama wa MK254, tu ndugu?
HiI
1. Ulisikia Tanzania au taifa jingine lolote linapigiwa kura hivi UN? Kwa Nini Palestina?

2. Haya ya Slovania nayo kwa nchi nyingine nayo uliwahi kuyasikia? Kwa nini Palestina?

View attachment 2988367



3. Kwa hiyo unadhani hawa wanaofanya jitihada atambuliwe kuwa taifa huru ni wajinga ila wewe?

View attachment 2988368

4. Kuna na hili la Mandela uhuru wa Palestina:

View attachment 2988369

5. Labda unajua ilipata uhuru lini ndugu?




6. Mandela Kwa kutambua mchango wake alipata hadi zawadi ya nobeli na dunia ina mtambua mchango wake SA na duniani, ila wewe unadhani u Bora kuliko yeye?

7. Labda unadhani wangekutambua wewe kuliko Mandela ingekuwa Bora zaidi?

8. Hudhani huu wako unaweza kuwa ni ugonjwa kama wa MK254, tu ndugu? takataka ndigu, Palestina
Palestina ilipata uhuru Mwaka 1988 Nov 15 ,Hizo juu ni takataka kaka umeandika naweza kukunadikia madude e kama hayo ukakimbia
 

1. Hapa nadhani umeandika: "hiiiiiiii ...iii!"

2. Hivyo huandika wa aina yako kama kina MK254 na wa namna yako!

Palestina ilipata uhuru Mwaka 1988 Nov 15 ,

3. Kauli hii ni ya Mandela baada ya 1994:

IMG_1567 (1).jpg


4. Hapo Mandela hajui Palestina kuwa huru. Si Israeli, Marekani, wala nchi yoyote yenye kujua uhuru unaousema wewe. Kwani uhuru huo uliwapa wewe?

5. Hapo #4 si ndipo ilipo tafsiri ya wenda kuzimu kama ilivyo kwenye kamusi ndugu?!

Hizo juu ni takataka kaka umeandika naweza kukunadikia madude e kama hayo ukakimbia

6. Haina shaka unaona ni takataka kwani hata wafu huwa hawajui wao ni wafu:

F6kGqZLXMAATAgq.jpeg


7. Kwa hakika uko sahihi, kwani ujueje mfu wewe kujua u mfu?!
 
Suala siyo kuandamana, suala ni Israel na Palestinians wakubali kuishi pamoja , makabila 2 yanashindwa je kuishi pamoja? Au nyuma ya pazia kuna ajenda za siri? Pro Israel hawaoni athari za vita ambavyo vimeua watoto na wanawake wa kipalestina, pro hamas wanatamani kuona Israel inaangamia na kufutika kwenye uso wa dunia . Bila Palestinians leaders na Israel leaders kukaa pamoja na kuukubali ukweli kubwa wote tunahitajiana kuleta amani ya wayahudi na wapalestina, amani haitapatikana, pale ni dini ndio zinasababisha vita kati ya msimamo ya kiislamu na misimamo ya kiyahudi.
Uislamu ni dini ya hovyo. Ndiyo maana haiwezi kuishi pamoja na watu wenye mataifa mengine.
Kuna haja gani ya kuishi na mtu anayefikiria kuchapa watu wanaokula mchana?
 
Uislamu ni dini ya hovyo. Ndiyo maana haiwezi kuishi pamoja na watu wenye mataifa mengine.
Kuna haja gani ya kuishi na mtu anayefikiria kuchapa watu wanaokula mchana?

1. Dini inakuja Je kwenye kadhia ya Gaza au katika Uzi huu?

2. Una makasiriko vipi na dini ya watu isiyokuhusu na mahali pasipo husika?

3. Si upeleke makasiriko yako kwenye majukwaa ya dini, misikitini au makanisani huko?

4. Huku kwingine huoni kuwa uko kama umewehuka tu ndugu?
 
Prime Minister Benjamin Netanyahu spoke this evening (Monday) in a videotaped speech at the torch-lighting ceremony of Israel's 76th Independence Day.
"76 years ago, in the War of Independence, we stood alone. The few against the many. Five Arab armies invaded our territory to eliminate the country that had just been born. We were poor in weapons, almost without means. But we had one secret weapon: the spirit of the ages, the life force of an ancient people that refuses to die. A people who stand up for their lives. As the psalmist says: 'I will not die, rather, I will live.'"
"Thanks to this spirit, we defeated our enemies and secured our existence," Netanyahu added and said: "Today we are infinitely stronger. But the desire to destroy us has not disappeared, it is still here. We saw it this year on October 7."
"This is not an ordinary Independence Day," he said, "the war is still in progress. It was forced upon us on a black day of terrible slaughter. Many of our brothers and sisters are still being held in the dungeons of Hamas. Their families are going through terrible suffering. We will bring them all home - both the living and the dead."
He continued, "Residents in the south and the north are still evacuated from their homes due to the war. We will return them safely to their communities. Our best soldiers fell in heroic battles. The families of the fallen are tormented by the pain of irreparable loss. Our wounded are dealing with their battle wounds with unparalleled nobility. I embrace everyone with love. I wish a full recovery for our wounded when I meet many of them and also many of the families of the fallen, they say to me: 'Our heroes did not fall in vain,' 'Our heroes were not wounded in vain'. 'Continue to the end, continue until the Hamas monsters are eliminated.' And I promise you - that is what we'll do."
"Although this is not an ordinary Independence Day, it is a special opportunity to understand the meaning of our independence," Netanyahu said, adding that it is "the independence to be a free people in our country. The independence to defend ourselves with our own strength. The independence to fulfill the decree of the generations: Never again! We are doing all this together, only together. Just as our heroic soldiers fight together, shoulder to shoulder, in tanks, in APCs, in tunnels, in planes, in ships. At the moment of truth, an entire country mobilized. What a wonderful generation we have. The generation of the victorious heroes."
"The torches that we light tonight will shine the great light of the glory of our country. They write in letters of fire the wonderful story of our people. We raise a miracle and a flare in honor of this nation. In honor of the Israelis who run into danger to save one another. In honor of the soldiers, the commanders, the policemen and policewomen, The women and men of the security forces - they all added new links to the chain of heroism of the defenders of our nation," he said.


  • "In honor of the Druze, Christian, Muslim, Bedouin and Circassian soldiers. We are all proud Israelis. We are brothers! In honor of the dedicated reservists, who want to fight until victory. In honor of the families on the home front, who are a solid support for the boys and girls on the front. In honor of the rescue and emergency organizations that saved so many lives. In honor of the thousands of citizens who come to the funeral of a single soldier. In honor of the volunteers who surround the IDF soldiers with love. In honor of our brothers and sisters in the Diaspora and in honor of our non-Jewish friends who stand together with us with their heads held high against the hatred of Israel. For the honor of our beloved people, 'A people that riseth up as a lioness, and as a lion doth he lift himself up, will arise and the people of Israel will be resurrected' for the glory of the State of Israel!" Netanyahu concluded.
 
Mandela ndio Mnyama gani? Wasouth walijuta kuwa na Babu kama yule kwani walibakia kuwa na maisha duni tu hadi leo
 
1. Huu ndiyo ulio ukweli mchungu wenye kuakisiwa vyema nyuma ya jitihada zote za Afrika Kusini hadi ICJ huko dhidi ya Israel.

2. Kwamba kuna mpenda haki wapi kwetu aliyebakia CCM, CHADEMA, ACT, UDSM au wapi wa aina ya mjukuu huyu wa Mandela?

View attachment 2988004

3. Kwamba nani anaweza kuthubutu kwa na hakika kusema Nyerere angesema nini? Kwani haijulikani au ni unafiki, umbumbumbu, ujuha, ushabiki, uchawa, na vya namna hiyo tu, uliowajaa watu hadi kina makongorosi huko kiasi cha kutokuwa na dira wala mwelekeo?

View attachment 2988012

4. Kwani Nyerere, Mandela, Castro, Tutu, Che Guevara, Mtikila, Maalim Seif, Chavez, Gaddafi nk au wa namna hiyo walikuwa na nini spesheli ambacho wengine wameshindwa kujitanabaisha navyo? Si kuwa walikuwa wenye kuendeshwa kwa nguvu za hoja?

View attachment 2988028

5. Kwamba mambo sisi, si ni ushabiki na mihemko tu? Hivi hadi aseme nani ndipo tugutuke ya kuwa kwa hakika tumepotea njia; na kuwa tuliko na tuendako si kwenyewe?

View attachment 2988030

6. Kwamba hata nyomi tuzionazo duniani kote nyuma ya HAMAS na Palestina si sauti za Mungu tena? Kwamba aje malaika kutokea wapi kutugatua wapi tutoke usingizini? Hivi hata tunajihurumia japo kidogo kuwa ndani ya umbumbumbu huu uliopitiliza mno, tuliomo?

7. Kwamba tumefeli wapi sisi Yarabi? Hivi sisi leo hata tunajuq kama Nyerere angekuwapo hata angesema nini? Ya kwamba hatukumsoma Wala kumwelewa? Ya kwamba aliondoka na yake yote? Na inakuwa jioni inakuwa asubuhi, tuko vizuri; maisha yanaendelea? "No wonder huwa tuko vizuri kugombea mali alizoacha marehemu!"

9. Kwamba mjukuu wa Mandela anajua Babu yake angesema nini, hata leo? Vipi contemporary, watoto, vijana, mabinti, wafuasi; wake, nk? "No wonder Afrika Kusini wanawakilisha wa aina ya kina Shivji, Ulimwengu na wachache mno wenye akili zao waliobakia hapa nchini, ambao pia nao wanaendelea kutoweka!"

9. Bila shaka baada ya kizazi cha kina Shivji na kina Ulimwengu, tutakuwa na "taifa la hovyo proper," kwa tunavyoshindana kuzidiana kuwa hovyo zaidi ya mwingine!

10. Alisema Prof. Chachage: "Babu zetu wakiwamo kina Kinjekitile, Mkwawa, Nyerere, Milambo, Sina, Isike, nk wangefufuka wakatukuta leo tulivyo komaa kuwashadadia mabeberu na wakoloni (wazungu kwa waarabu), watatukataa kuwa sisi si wajukuu zao!"

10. Kwamba wao katika uhai wao walipigana na kutupigania sisi wakipinga kutawaliwa na kwa nguvu zao wakiukataa ukoloni na utumwa? wengi wao hadi kupoteza maisha? Ya kuwa sisi leo ndiyo Hawa?

a) mkoloni na mlowezi ni wawekezaji, wafadhili au wahisani?!
b) Baina yetu tuna Arsenal, Chelsea, Man U, City, Real, Barca, nk; damu?!
c) Tunalazimishwa kwenda Rwanda tukipatikana kutaka hifadhi Uingereza ambako nako haturudi katu, kwa ridhaa zetu?!
d) tumekuwa wafuasi wa dini zao kuliko wao?!
e) Tunagombea kwenda ulaya na arabuni kwenda kuwa hata watumwa; wengine wakifia kwa maelfu baharini?
f) kwamba tumekuwa mabalozi wao hadi wanatushangaa?
g) kwamba tunaona heri tukawe magerezani kwao kuliko kuwa huru nchini?
h) kwamba tunatamani mkoloni angeendelea kuwapo kuliko yaliyotukuta baada ya uhuru?
i) Nk.

11. Kwa hakika washupavu hao (#10) wangesema: "katu sisi siyo wajukuu zao!"
Mandela Siyo Malaika au Mungu kwamba Kila anachosupport ni sahihi hata akiwaunga mkono Al Qaeda ni sawa tu
 
1. Kwamba ulipo unadhani wewe buza pale dunia inakuonea kuto-kukuzawadia japo ka-nobeli?!

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

2. Kwamba hiyo itakuwa ni akili, au matope?
Kwahiyo Nobel kwako ndiyo kipimo Cha mafanikio na roho nzuri? Kwamba Kila mshindi wa Nobel anageuka Malaika... WTF Hata Abiy Ahmed waziri mkuu wa Ethiopia ana Nobel na amelaumiwa Kwa ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa vita na waasi wa Tigray, na Usisahau hata wanaotoa hizo tuzo wako upande wa Israel Siyo upande wa hamas, think beyond nobel
 
Kwahiyo Nobel kwako ndiyo kipimo Cha mafanikio na roho nzuri? Kwamba Kila mshindi wa Nobel anageuka Malaika... WTF Hata Abiy Ahmed waziri mkuu wa Ethiopia ana Nobel na amelaumiwa Kwa ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa vita na waasi wa Tigray, na Usisahau hata wanaotoa hizo tuzo wako upande wa Israel Siyo upande wa hamas, think beyond nobel

1. Wapi nimesema neno Malaika? Usiniwekee maneno mdomoni ndugu.

2. Nisome vyema:

"Huna nobeli wewe. Huna lolote la kumzidi mwenye nobeli katika dunia hii!"

3. Kwa msisitizo zaidi ni kuwa, huna nobeli, kwa mwenye nayo wewe ni mbuzi meme tu ndugu!

4. Zingatia Nobel laureates ni aina za kina Obama, Mandela na Tutu. Siyo kina Nyerere, Xi, Bush, Benedicto wala kina Clinton.

5. Ukweli mchungu una nini wewe duniani humu ndugu kuwazidi hao? Labda ujinga!

6. Kulaumiwa? Wanalaumiwa HAMAS wakipigania ardhi yao.

7. Fundweni heshima:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
 
1. Wapi nimesema neno Malaika? Usiniwekee maneno mdomoni ndugu.

2. Nisome vyema:

"Huna nobeli wewe. Huna lolote la kumzidi mwenye nobeli katika dunia hii!"

3. Kwa msisitizo zaidi ni kuwa, huna nobeli, kwa mwenye nayo wewe ni mbuzi meme tu ndugu!

4. Zingatia Nobel laureates ni aina za kina Obama, Mandela na Tutu. Siyo kina Nyerere, Xi, Bush, Benedicto wala kina Clinton.

5. Ukweli mchungu una nini wewe duniani humu ndugu kuwazidi hao? Labda ujinga!

6. Kulaumiwa? Wanalaumiwa HAMAS wakipigania ardhi yao.

7. Fundweni heshima:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
Ndiyo maana nikasema think beyond Nobel.. kama huelewi Siyo shida zangu endelea kuwaunga mkono hamas one day watakukomboa kifikra
 
Mbowe anahusikaje kwenye hii topic😁😅😅acha kukisia vitu ovyo Mimi Siyo fan wa siasa... Na sidhan kama huu mjadala una uhusiano wowote na siasa za Tanzania.. maybe hoja zimeisha take some rest now

Uelewe vipi kama kichwa panzi?
 
Back
Top Bottom