Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;
"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".
"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.
Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.
CHANZO:Tanzania Daima
Hivi ni mbunge?Na kama ndio,ni wa chama gani?
Bahati mbaya kwenye gazeti hawajasema kama ni mbunge au laa.
Mbunge wa kishapu ccm, anamiliki mabasi ya Mombasa raha,
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;
"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".
"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.
Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.
CHANZO:Tanzania Daima
Kuna ukweli mkubwa sana, badala ya kugawa makabrasha kwa wajumbe wote, taarifa ingewekwa kwenye "Server" au "flash disk" kila mjumbe akapewa na kuipitia kwenye laptop au Ipad
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;
"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".
"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.
Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.
CHANZO:Tanzania Daima
Nice mbunge! Huyo wa ccm jimbo la kishapu.ila sio lofa!! Was kushindwa kununua IPad. Ni mmiliki wa kampuni ya usafirishaji ya Mombasa Raha.ttzo letu was tz MTU hata akiwa name hoja ya msingi mnaipuuza
Aaaaaagh wajameni mbona watu hamna adabu? Mada inasema iPad mzee wa Akanana unaleta za mauaji...!?kimsingi kuna mantiki ktk mapendekezo yake..unajua karatasi zinagharama gani..kuna mabuku mengi huwa wanagawiwa hawa jamaa ktk vikao vyao...ili kusevu hela za walipa kodi ni bora wawe wana sevu kwenye ipad au laptop zao na wakati mwingine wasevu kwa kutumia Online data storage kama Cloud n.k. So basically Nchambi is right when it comes into money and time saving...
Kama wanataka si wajinunulie wenyewe!
Hivi mbunge na mwanafunzi ni yupi wa kununuliwa Ipad au Laptop?!
Hoja yako nini maana ni kama "self diluting"!!!!!!Unapojiandikisha masomo ya "Online" unaambiwa kabisa lazima uwe na "full time internet access". Waombaji wa nafasi za Bunge la katiba walitakiwa waambiwe kabla mojawapo ya kitendea kazi ni "Laptop/ Ipad". kwa kuwa hawakuambiwa serikali ikiingia deal inaweza kupata hizo IPAD si zaidi ya TZs 450,000