Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Badala ya kuomba mafunzo ya ngumi (siku si nyingi zitaanza) yy anataka ipad ukipigwa na ipad yako ikavunjika utaomba serikali ikutengenezee,chukua mafunzo ya kungfu mapema ww achana na wazo la ipad.
 
Hehehe primary gani wanatumia ipad? Hata computer za chogo hatuna wala umeme shuleni hatuna! Mbunge ----- sana
 
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;

"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".

"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.

Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.

CHANZO:Tanzania Daima

Angejua kwanza ni wajumbe wangapi wana uwezo wa kuzitumia hizo tablet! Au ndo yale yale ya kutokutambua jukumu lao hapo bungeni. Hivi hawa wabunge wanafahamu kilichowapeleka Dodoma au wamelazimishwa kwenda huko? Manake toka walipowasili Dodoma hadi leo jumamosi ni siku ya tano hatujasikia jambo lolote kuhusu hiyo katiba zaidi ya madai! Kwa mwendo huu najiuliza, katiba itapatikana kweli????
 
Anataka atafute mawazo ya wana jf wakati bunge linaendelea
 
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;

"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".

"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.

Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.

CHANZO:Tanzania Daima

Kuna ukweli mkubwa sana, badala ya kugawa makabrasha kwa wajumbe wote, taarifa ingewekwa kwenye "Server" au "flash disk" kila mjumbe akapewa na kuipitia kwenye laptop au Ipad
 
Kuna ukweli mkubwa sana, badala ya kugawa makabrasha kwa wajumbe wote, taarifa ingewekwa kwenye "Server" au "flash disk" kila mjumbe akapewa na kuipitia kwenye laptop au Ipad

Kama wanataka si wajinunulie wenyewe!

Hivi mbunge na mwanafunzi ni yupi wa kununuliwa Ipad au Laptop?!
 
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;

"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".

"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.

Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.

CHANZO:Tanzania Daima

Kweli huyo Mwananchi kachaguliwa na Rais kuongelea KATIBA ya NCHI au Uchaguzi wake kwenye hilo BUNGE ni kuongeza Maslahi yake BINAFSI... Pesa wanazolipwa Gharama ya kuwahudumia na Utakuta HILO ndilo litakuwa HOJA YAKE PEKEE KUONGELEA Mpaka KATIBA MPYA inapatikana...

Inaonyesha RAIS wengine amepeleka MARAFIKI kula hizo PESA za NCHI...
 
Okoa misitu tumia iPad ila iwe yako

Halafu kipindi hiki cha technology mtu km huyo kutokuwa na iPad ni ujinga na hata akipewa hatajua kuitumia na isitoshe analipwa hela nyingi anaweza kununua yake
 
Nice mbunge! Huyo wa ccm jimbo la kishapu.ila sio lofa!! Was kushindwa kununua IPad. Ni mmiliki wa kampuni ya usafirishaji ya Mombasa Raha.ttzo letu was tz MTU hata akiwa name hoja ya msingi mnaipuuza
 
Tangu walipoteuliwa wanajiona wako matawi ya juu kushinda hata wananchi.
 
Nice mbunge! Huyo wa ccm jimbo la kishapu.ila sio lofa!! Was kushindwa kununua IPad. Ni mmiliki wa kampuni ya usafirishaji ya Mombasa Raha.ttzo letu was tz MTU hata akiwa name hoja ya msingi mnaipuuza

Hivi hoja ya msingi ni kununua iPad kwa ajili ya wabunge au ni hiyo hela itumike kutengenezea madawati watoto wasikae chini?!

Hivi huoni hiyo ni akili ya Abunuasi?!
 
Aaaaaagh wajameni mbona watu hamna adabu? Mada inasema iPad mzee wa Akanana unaleta za mauaji...!?kimsingi kuna mantiki ktk mapendekezo yake..unajua karatasi zinagharama gani..kuna mabuku mengi huwa wanagawiwa hawa jamaa ktk vikao vyao...ili kusevu hela za walipa kodi ni bora wawe wana sevu kwenye ipad au laptop zao na wakati mwingine wasevu kwa kutumia Online data storage kama Cloud n.k. So basically Nchambi is right when it comes into money and time saving...

Hii ndio Id yako ya JF muheshimiwa
 
Kama wanataka si wajinunulie wenyewe!

Hivi mbunge na mwanafunzi ni yupi wa kununuliwa Ipad au Laptop?!

Unapojiandikisha masomo ya "Online" unaambiwa kabisa lazima uwe na "full time internet access". Waombaji wa nafasi za Bunge la katiba walitakiwa waambiwe kabla mojawapo ya kitendea kazi ni "Laptop/ Ipad". kwa kuwa hawakuambiwa serikali ikiingia deal inaweza kupata hizo IPAD si zaidi ya TZs 450,000
 
Unapojiandikisha masomo ya "Online" unaambiwa kabisa lazima uwe na "full time internet access". Waombaji wa nafasi za Bunge la katiba walitakiwa waambiwe kabla mojawapo ya kitendea kazi ni "Laptop/ Ipad". kwa kuwa hawakuambiwa serikali ikiingia deal inaweza kupata hizo IPAD si zaidi ya TZs 450,000
Hoja yako nini maana ni kama "self diluting"!!!!!!
 
Back
Top Bottom