Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Itungwe kanuni ya kufukuza wapeleka udaku kama huyo kufukuzwa bunge la katiba
 
Huyu kwa wazo lake inaonyesha anatoka chama cha wale wanaofikiri kwa kutumia mas@burrrr*y!
 
Selemani NChambi.. Are we living in the same country?

Majority ya Watanzania wanaishi under international poverty line yeye analilia Ipad?

Ninajiuliza, mtu kama huyu anafanya nini kwenye bunge la katiba? Ata simamia maslahi ya Watanzania au ya kwake binafsi!
 
Naibu waziri? Kumbe kazoea kutumia nafasi anayopata kuiifilisi nchi, bhaaaaaa!
 

Hongera sana kumbe unajua mambo ya ICT namna hiyo kumbe uko mbali.
Tht is the only thing I can see in your msg. You lack seriousness and you just want to show what you have heard about ICT.
 
siku nyingine atataka wawekewe flat screen
 
Huyu sio raia

Watu hawajali chochote pale zaidi ya matumbo yao... wqtu wanakufa njaa wao ndo kwanza wanadai laki tatu haiwatoshi kwa siku na ipad juu...mh hapo tusubirie tuone ila kwa upuuzi huu sijui km watamaliza hizo shuguli kwa muda waliopangiwa....
 
Hilo jamaa Lina vihela balaa limeamua Tu kuropoka ili mdomo usinuke Hivi kama wanashida na Ipad SI wanunue kwa posho zao.
Ni kweli hili jamaa linahela sana,kwan ni mmoja ya madon wakubwa na wenye nguvu kisiasa Shinyanga
Mkulu anaziara mkoani shinyanga,mwezi ujao au mwezi huu mwishoni
Atakapo enda Shinyanga Kishapu jimboni kwa Nchambi's, mkulu atalala nyumbani kwa Chamb's kwan kishapu hakuna ikulu ndogo
Na juzi Chambi's katoka Dubai kufanya shopping ya dhamani ya Tshs 22,000,000 vikiwemo vitanda,sofa,mapajama,na mashuka atakayotumia mkulu
Sasa swali langu je huyu jamaa kashindwaje kununua ip au tablet ya Tshs 1,500,000 wakati kafanya kufuru kwenye ujio wa mkulu nyumbani kwake????
 
Naibu waziri? Kumbe kazoea kutumia nafasi anayopata kuiifilisi nchi, bhaaaaaa!

Aaaaah! Hajawahi kuwa NW! Hata shule,sidhani kama alimaliza 'O' level pale Buluba Sec. Shinyanga mjini! Kwa wiki,alikuwa akijitahidi saaaaana,basi anaweza kuwa amehudhuria siku tatu!
 
Aaaaah! Hajawahi kuwa NW! Hata shule,sidhani kama alimaliza 'O' level pale Buluba Sec. Shinyanga mjini! Kwa wiki,alikuwa akijitahidi saaaaana,basi anaweza kuwa amehudhuria siku tatu!
Teh teh teh teeeeeeh! Wapo watu wengi walioteuliwa kwenda mjengoni kwa sababu a nafasi zao atika jamii na wala sio kwa sababu ya weledi wao katika kuchambua mambo. Anaweza kuwa na pesa nyingi sana lakini hata jina lake hajui kuandika, signature anatia dole gumba lakini anajua kuhesabu hela yake wala usifikirie kumwibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…