Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Mjumbe aliyelilia iPad Bungeni huyu hapa!

Anahoja ila,,

Hoja hojaaa mmh! lazima anataka awe anaangalia picha za ngono bungeni. Naamini kabisa kwamba kama hadi leo hana ipad, basi hajawahi kuitumia.

Akisha pewa sasa ataanza omba pesa za mafunzo ya jinsi ya kuitumia.
 
Mjumbe wa Bunge la katiba alielilia Ipad Bungeni amefahamika kwa jina la Suleiman Nchambi na hii ndio kauli yake.Ninamnukuu kama ifuatavyo;

"Dunia ya sasa imegubikwa na utandawazi ambao kuanzia shule za msingi wanatumia Laptop,sasa ningependa Ipad, ilikupunguza gharama zinazotumika na Bunge kuchapisha nyaraka mbali mbali".

"Lazima wanafunzi wa shule na vyuo wajifunze kutoka kwetu,sasa wanatushangaa tukiendelea kutumia utaratibu huu wa kugawiana makaratasi yenye nyaraka litakuwa jambo la kusikitisha,nina imani tukipatiwa vifaa hivyo watendaji watakuwa wanatutumia ujumbe wa taarifa tunazopaswa kujadili au kazi tulizopangiwa kufanya," alisema.

Hata hivyo,mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo,mh.Kificho alipinga wazo hilo kwa maelezo kuwa utaratibu huo ni wa gharama zaidi.

CHANZO:Tanzania Daima

You mean Suleiman Masoud Nchambi of CCM asking for an iPad! then
Richard Ndasa, another of CCM posing another request, allowance increase!

What a hell with this CCM party (so called)?
 
Mungu atusaidie kuwa na moyo wa kijasiri kukemea na kupambana na dhuluma hii.hili bunge bila ubishi limeiga uhuni wa bunge la jamhuri.inasikitisha sana
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    27.1 KB · Views: 182
  • image.jpg
    image.jpg
    106.5 KB · Views: 178
  • image.jpg
    image.jpg
    117.7 KB · Views: 174
  • image.jpg
    image.jpg
    7.2 KB · Views: 160
Hoja hojaaa mmh! lazima anataka awe anaangalia picha za ngono bungeni. Naamini kabisa kwamba kama hadi leo hana ipad, basi hajawahi kuitumia.

Akisha pewa sasa ataanza omba pesa za mafunzo ya jinsi ya kuitumia.
Huyu Mbunge wa Kishapu (CCM),anaishi Shinyanga mjini! Majuzi,vyombo vya habari vilimnuku akidai,fedha wanazolipwa,ni ndogo,wakati kazi watakayoifanya ni kubwa kuliko waliyoifanya akina Warioba!
 
Huyu Mbunge wa Kishapu (CCM),anaishi Shinyanga mjini! Majuzi,vyombo vya habari vilimnuku akidai,fedha wanazolipwa,ni ndogo,wakati kazi watakayoifanya ni kubwa kuliko waliyoifanya akina Warioba!

Hivi kumbe hata posho kalilia!

Hilo jimbo lina hasara!
 
I think you are not serious. Unaijua bei ya iPad? Unaijua bei ya karatasi moja likichapushwa kwa wingi ni ipi? (Economies of scale). Tunaongelea ipads zaidi ya 600 hapa!

kwa bei za kiserikali laptop moja wananunua kwa shilingi milion 2.5, sijui iPad itakua sh ngapi?
 
Hivi ni mbunge?Na kama ndio,ni wa chama gani?

Bahati mbaya kwenye gazeti hawajasema kama ni mbunge au laa.

Mbunge wa Bunge lile la kawaida la JMT jimbo la Kishapu - Shinyanga CCM lililokuwaga la Fred Mpendazoe (yule jamaa aliyeingizwa mjini na kina Nape,Sitta na wenzao wakaanzisha chama cha CCJ ili hali wakiwa ndani ya CCM yeye akahamia CHADEMA just before 2010 General Election na kugombea ubunge jimbo la Ukonga/Segerea?)

Huyu jamaa (Selemani NChambi) ni msukuma wenye asili ya kiarabu (shombeshombe) na anamilki kampuni ya usafirishaji ya mabasi na malori inaitwa MOMBASA RAHA au NCHAMBI"S huko Shinyanga!!
 
Back
Top Bottom