Mjumbe Kamati Tendaji Tanga ashambuliwa baada ya kukamatwa na Mwenyekiti UVCCM pamoja na green guard

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.

Your browser is not able to display this video.

 
Tatizo ni nini?
 
Hili ni tatizo La polisi kufungamanishwa na CCM lazima kazi iwe ngumu upande wa polisi, hasa kwa matukio yanayo fanywa na CCM na ambayo nimengi na yanalipaka matope jeshi la polisi kwa sababu wanakosa nguvu ya kufanya maamuzi, CCM na viongozi wao wanauhuru wa kufanya jambo lolote baya na wanajua hawana cha kufanywa na vyombo vya ulinzi na usalama
 
Mama anasemaje
 
Imefika wakati CCM nao waanze kufanyiwa hivi vitendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…