Tatizo ni nini?Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
Hili ni tatizo La polisi kufungamanishwa na CCM lazima kazi iwe ngumu upande wa polisi, hasa kwa matukio yanayo fanywa na CCM na ambayo nimengi na yanalipaka matope jeshi la polisi kwa sababu wanakosa nguvu ya kufanya maamuzi, CCM na viongozi wao wanauhuru wa kufanya jambo lolote baya na wanajua hawana cha kufanywa na vyombo vya ulinzi na usalamaMjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
Mama anasemajeMjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
Imefika wakati CCM nao waanze kufanyiwa hivi vitendoMjumbe wa Kamati Tendaji ya Tanga wa CHADEMA Husein Ally jana Sep 5, 2024 alichukuliwa na Mwenyekiti wa UVCCM pamoja na green gurd ambao walimpeleka ofisi za CCM Masiwani Ground wakampiga. Baada ya hali kuwa mbaya inasemekana waliwaita polisi kumchukua, viongozi wengine wa BAVICHA walipata taarifa na walimkuta Husein Hospitalini Bombo.
I like your equationGreen guard + Polisi = CCM Gang
Chanzo ni ccmChanzo ni nini
Kabisa, wamekuwa wapole mno, kile kikundi chao cha ukinzi kilipigwa marufuku lakini green guard ipo, kwanini?Kama BAVICHA hawatakopa falsafa ya jino kwa jino kutoka CUF, basi watarajie kuuawa zaidi.
Mama kama mamaMama anasemaje