TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

Alikuwa ' anapayuka ' sana na kupiga ' Mikelele ' mno katika Media ( Television ) japo kwa 85% Kichwani mwake alionyesha ni Mtu Mwerevu ( Intelligent ) na mwenye Mitazamo ya mbali ( Visionary )

RIP Kwake na poleni wana Familia wake.
 
Huyu Hayati alikuwa na akili timamu ila akajakuhongwa na Marehemu JPM. Akiwa mezani bar alikuwa ba tabia ya kunywa safari mbili moja moto na bariki. Ni moja ya waongea hovyo sana.
Kuna siku nadhan wa kampeni alialikwa kuongea..huyu mzee km humjui unaweza sema nchi iko kwa machafuko🤣🤣! Ana jazba balaa..hahhaaha yaaan ni shidaaa🤣🤣! Huyy hafai kutuwakilisha international....hahhaa anatoa mimacho kama mzee wa twashwishwi🤣🤣! Mate sasa weee! Nilimpendaga bure
 
Duhh...

Mama naanza kumuogopa sasa..

😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷😷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…