TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA

=========

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.

Alikuwaga Mwanaharakati mzuri sana, namkumbuka kwa michango yake kwenye midahalo mbalimbali hasa ule wa Katiba Mpya. Pumzika kwa Amani baba.
 
Huyu mzee waliwai KUPIGA 100million bahat nasibu[emoji116]
Screenshot_20210527-095248.jpg
 
Huyu dingi ilikuwa akipewa nafasi ya kuongea kwenye chombo cha habari au mdahalo, ni lazima ataropoka kuhusu issue ya Deep green, Meremeta au Richmond. Hata kama mada itakuwa ni mechi ya Simba na Yanga, mzee mkinga ataropoka hizo issue.
Videos
 
Mwanaharakati Renatus Mkinga afariki, alikuwa mjumbe wa bodi ya Tasac iliyovunjwa na mama Samia mwezi uliopita.
Source: TPA

=========

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA Bw Renatus Mkinga amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili usiku wa kuamkia tarehe 25 Mei, 2021. Atakumbukwa kwa Mchango wake katika maendeleo ya Sekta ya Bandari. Apumzike kwa Amani.

dah mzee namkumbuka akiongeaga hadi waandishi wa habari wanamkwepa anayvotema cheche za mate mdomoni
 
Kabla ya kuwa mjumbe wa bodi alikuwa mishen town
Kabla ya yote hayo alishafanya kazi NASACO baada ya hapo akawa mwanaharakati akipinga NASACO KUFA. ITV walikuwa wakimualika kwenye vipindi akawa anaelezea ni namna gani Serikali inaweza kuunda Kampuni ambayo itafanya kazi kama ilivyofanya NASACO. Kupitia vipindi katika ITV akielezea makosa ya Serikali kuivunja NASACO Mh. JPM akamteua kuwa mjumbe wa Bodi katika TASAC.Alikuwa ni mtu aliyejali sana matatizo ya watu.
 
Back
Top Bottom