Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana kama Trump hayuko sawa kichwani.Anachanganya mambo sana.Wamarekani wanaweza kuona hana sifa tena za kuwa raisi.Trump anaweza asimalize muhula wake, ana maadui wengi san ndani na nje ya nchi
Soon wanamtafutia target tu huyo jamaa lazima atembezewe shaba halafu anataka mwenyewe kufaNdio maana nimesema Trump anaweza kuuwawa.
Huyo muhuni abakie nyumbani kwake huko hukoTrump anaweza asimalize muhula wake, ana maadui wengi san ndani na nje ya nchi
Gaza ikijengwa hawarudishwi kinajengwa kituo cha kuvutia watalii na wanapewa waisraelKuna baadhi ya Wapalestina wa Gaza wamekubali kuhama na kuingia Misri kama watapewa guerentii ya kurejea baada ya Gaza kujengwa upya na kuwa kama Dubai.
Hao wapenda amani ambao hawakuchukizwa na walichofanya Hamas basi ni wanafiki tu na hawana msaada wowote.Tatizo ile Kauli yake atamm naamin ni Utani na alitaka kuwafuraisha Walokole wenzie duniani lkn!!!! Lkn apo apo imewaudhi wapenda Haki Duniani akiwemo uyo AI Green
ndio mana kasema sijali chochote lkn nitasimama kwaajili ya Haki!!! Kaule ile kaitoa Tramp kipindi kibaya kwa mtazamo wangu kwamaana bado Duniani imechukizwa sana na picha Walizoona zikikanyaga Utu wa Binadam
kias ya kuokota unga barabarani lkn picha Za mauaji ya watu wengi zimewaudhi watu wengi wapenda Amani Duniani kwasasa Tramp akisafiri popote atakutana na Wapenda aman wenye chuki kali dhidi yke
Nchi za Kiarabu ni nyingi wanaongea lugha moja Mila moja desturi moja kwahiyo Wapalestina watakuwa hawajapoteza kitu.Gaza ikijengwa hawarudishwi kinajengwa kituo cha kuvutia watalii na wanapewa waisrael
Emu elezea tena leo aseme anawafagiaa watanzania wote wahamie Congo anataka kujenga vituo vya utalii Tanzania utasema Congo wanaongeaa lugha moja na Tanzania au sio?Nchi za Kiarabu ni nyingi wanaongea lugha moja Mila moja desturi moja kwahiyo Wapalestina watakuwa hawajapoteza kitu.
Waarabu ni kabila moja labda lugha moja Mila moja Desturi moja na ni watu pekee waliotumia Dini kuvamia na kutawala jamii nyingine na kutokana Islamic conquest walivamia nchi nyingi za watu hadi kufika katika bara la ulaya Spain nk.Emu elezea tena leo aseme anawafagiaa watanzania wote wahamie Congo anataka kujenga vituo vya utalii Tanzania utasema Congo wanaongeaa lugha moja na Tanzania au sio?
Tamko alilolitoa Donald Trump akiwa na Benjamin Netanyahu akisema ataichukua Gaza na kuijenga upya kwa kuwaondosha wapalestina imepelekea mshtuko mkubwa kwa viongozi wa mataifa mengi pamoja na wanasiasa wa Marekani.
Wanasiasa waliokuwepo ukumbini wakati Trump akisema hayo kama hitimisho la mazungumzo yake na Netanyahu hapo majuzi baadhi yao walificha nyuso zao kwenye mikono kutokana na haya waliyoipata kwa tamko hilo la raisi wao.
Kuna wanasiasa nchini Ireland na mataifa mengine ambao wametoa matamko makali ya kumdharau Trump kwa matamshi yake hayo.Mmoja wao amesema ikulu ya Marekani kwa sasa ni kama haina mtu.
Kwa upande wake Al Green ambaye ni mjumbe wa Congress kutoka chama cha Democrat amesema atapeleka kwenye baraza vipengele vya kumshtaki Trump ili aachie madaraka (impeach)Akaongeza kwa kusema kuwa tamko kama hilo halingetajwa kama utani hasa kutamkwa na raisi wa taifa kubwa kama Marekani.
Mbali na hivyo hilo ni jambo kubwa kwa sera za nchi ambalo lingepaswa lipitie kwenye vikao rasmi vya kiserikali kabla ya kutamkwa hadharani kitu ambacho hakikufanyika.
Wanasias wengine wa Marekani wako waliosema matakwa ya Trump kuhusu Gaza hayatafanyika na hayatekelezeki.Wapalestina wenyewe wamemwita raisi huyo kuwa ni mwendawazimu.
Kuna mambo Huwa anakurupuka kama ilo la GazaHuyo muhuni abakie nyumbani kwake huko huko
Ana maamuzi mengi ya kukurupuka , hata washauri wake watakuwa wanapata shidaInaonekana kama Trump hayuko sawa kichwani.Anachanganya mambo sana.Wamarekani wanaweza kuona hana sifa tena za kuwa raisi.
Katika kipindi cha wiki moja tangu kuapishwa ametoa kauli tata nyingi sana za kuwaondolea watu heshima zao.Ametishia kuchukua Green Land,Panama na sasa ni Gaza.
Watu zaidi ya milioni 2 wa Gaza jee anapo pa kuwapeleka.Na kwanini awalazimishe kuondoka wakati wenyewe hawataki.
Hitler alikua muislam?Sasa waislamu si muandamane tu dunia mzima ili mukawaue wayahudi wote?
ndiyo alikuwa muislamuHitler alikua muislam?
Kama shauri la impeachment halitaendelea mfumo wa utawala wa Marekani unazidi kujichora kama mfumo uliofeli na si wa kuigwa popote.Mie nashauri apimwe akili kabla ya kufukuzwa kwani hafai kuongoza hata kundi la chawa au inzi. Sijui hata kama anajitambua. Angejitambua, asingeingizwa choo ya stendi na matapeli kama Netanyahu na Musk na wengine waliomzunguka wakimsifia kama maza afanyiwavyo na machawa
Yes trump ndo rais sahihi wakuisambararisha marekeni acha aendelee hivyo hivyoTamko alilolitoa Donald Trump akiwa na Benjamin Netanyahu akisema ataichukua Gaza na kuijenga upya kwa kuwaondosha wapalestina imepelekea mshtuko mkubwa kwa viongozi wa mataifa mengi pamoja na wanasiasa wa Marekani.
Wanasiasa waliokuwepo ukumbini wakati Trump akisema hayo kama hitimisho la mazungumzo yake na Netanyahu hapo majuzi baadhi yao walificha nyuso zao kwenye mikono kutokana na haya waliyoipata kwa tamko hilo la raisi wao.
Kuna wanasiasa nchini Ireland na mataifa mengine ambao wametoa matamko makali ya kumdharau Trump kwa matamshi yake hayo.Mmoja wao amesema ikulu ya Marekani kwa sasa ni kama haina mtu.
Kwa upande wake Al Green ambaye ni mjumbe wa Congress kutoka chama cha Democrat amesema atapeleka kwenye baraza vipengele vya kumshtaki Trump ili aachie madaraka (impeach)Akaongeza kwa kusema kuwa tamko kama hilo halingetajwa kama utani hasa kutamkwa na raisi wa taifa kubwa kama Marekani.
Mbali na hivyo hilo ni jambo kubwa kwa sera za nchi ambalo lingepaswa lipitie kwenye vikao rasmi vya kiserikali kabla ya kutamkwa hadharani kitu ambacho hakikufanyika.
Wanasias wengine wa Marekani wako waliosema matakwa ya Trump kuhusu Gaza hayatafanyika na hayatekelezeki.Wapalestina wenyewe wamemwita raisi huyo kuwa ni mwendawazimu.