JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Asina amesema hayo Februari 23, 2025, alipotembelea na kukagua mafunzo kwa Watendaji hao ambayo yamefanyika katika Shule ya Sekondari Kwadoe.
Mafunzo hayo ni sehemu ya maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unaotarajiwa kuanza Machi 01, 2025 hadi Machi 07, 2025, katika mikoa ya Morogoro na Tanga katika Halmashauri za Wilaya ya Bumbuli, Handeni, Pangani na Mkinga.