TANZIA Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, Aboubakar Khamis Bakar afariki dunia mjini Zanzibar

Daah! poleni sana wazanzibar... hakikisheni mnalipa kisasi 2025 kama ni mbali mkinukishe hata leo baada ya mazishi
 
Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.

Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe

 
Ina lilahi waina ilayhi rajuun

Siasa zimetufikisha hapa,Wanataka kutawala milele,wanafanya kila kitu ili waendelee kutawala..

Watauwa,watateka,watapoteza,watatesa,lakini wajue hakuna kisichokuwa na mwisho

Rest in peace,Mwakilishi
 
إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ‎

Innā li-llāhi wa-ʾinna ʾilayhi rājiʿūn
 
Poleni sn ACT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…