Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ni bora hata Zanzibar hua wanajaribu kupambania haki yao ila wanazidiwa,huku bara hakunaga hata anaepambana kama wazenji.Zanzibar mna nini lakini?Inakuaje kila uchaguzi mnaletewa askari wageni wanakuja wanaua ndugu zenu nanyi mnakubali tu?
😁😁😁,hii nchi wananchi tunadharauliwa sana!Si ni bora hata Zanzibar hua wanajaribu kupambania haki yao ila wanazidiwa,huku bara hakunaga hata anaepambana kama wazenji.
Mpk police wanajirecord video zinazosambaa huko mitandaoni wakiimba 'mko wapi wachumba mbona hamtokei,nimeshachukua lodge lkn mpnz hautokei(wakimaanisha raia mbona hamjitokezi road, police tumeshafika barabarani lkn hamji kuandamana).'
Muda huo hao watu wanaosubiriwa kwenda kuandamana wako zao bar wanakula bia huku wakiwa nakamfuko kenye vumbi la mkongo tayari kwa kwenda kupata utelezi.
Hivi wewe unawazazi kwelI au watoto hivi ushetani unakutoka wapiWiki hii watu wenu wa karibu watakufa.
Unashabikia haya mambo???Yes vyovyote vile
Inna lillah wa inna ilahyi rajiun.Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
CCM !!! Mungu atalipa..Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
Poleni saaana! Inasikitisha!Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
GENERAL INFORMATIONS | ||
|---|---|---|
| Salutation | Honourable | Member picture
|
| Last Name | Bakary | |
| Middle Name: | Khamis | |
| First Name: | Abubakar | |
| Date of Birth: | 2th November 1951 | |
| Member Type: | Elected | |
| Constituency: | Mgogoni | |
| Political Party: | CUF | |
| Office Location | Finya Banda Maji-Pemba | |
| Telephone Number: | - | |
| Mobile Number: | +255777411437 (or) +255658411437 | |
| Office Email: | - | |
| Personal Email: | abuutiri@hotmail.com (or) abuutiri@yahoo.com | |
| Year Started: | 1984 to date | |
| Terms: | Fifth |
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
|---|---|---|---|---|
GENERAL INFORMATIONS | ||||
| Wete Boys Primary School | Primary Education | 1959 | 1965 | Primary |
| Fiedel Castro Secondary School | Secondary Education | 1966 | 1969 | Secondary |
| Lumumba College | Secondary Education | 1970 | 1971 | A - Level |
| University of Dar-es-Salaam | Law | 1972 | 1975 | Degree |
| University of the West Indies | Law | 1992 | 1992 | Master |
Institution /Company | Position | From Date | End Date |
|---|---|---|---|
EMPLOYMENT HISTORY | |||
| SMZ | State Attorney | 1975 | 1976 |
| SMZ | Cleark ot the House of Representative of Zanzibar | 1980 | 1982 |
| SMZ | Senior State Attorney Chief Parliament Drafts Man | 1982 | 1983 |
| SMZ | Judge | 1983 | 1984 |
| SMZ | Attorney General | 1984 | 1988 |
| SMZ | Minister | 1985 | 1989 |
| SMZ | Deputy Chief Justice | 1989 | 1990 |
| SMZ | Chair Person Law Review | 1990 | 1991 |
| Private Advocate | 1992 | 1995 | |
| SMZ | Co-Chair Person JPSC | 2002 | 2005 |
| Member of the House of Representatives and Leader of Opposition in the House. | 2005 | 2010 | |
| SMZ (Ministry of constitutional and legal affair) | Minister | 2010 | To date |
Kielelezo hiki kifike ICC, the Hague.Kwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun.
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
marehemu alikuwa ni gwiji wa sheria, kwa nyadhifa alizozipitia nyakati za uhai wake laiti kama angelitaka kuegemea upande ule wa wasiopenda haki basi naamini maisha yake yangelikuwa ni ya kutukuzwa..R.I.P Aboubakar Khamis Bakar.
..hakika ACT na vyama vya upinzani vimepoteza mwanachama muhimu sana.
..nakumbuka mchango mkubwa wa Aboubakar Khamis Bakar wakati wa bunge la katiba.
Inna lillah waina ilaih raajiunKwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe
Hapana, ukinisoma vzr utanielewa. Ninapinga wanaofurahia kifo cha mtuUnashabikia haya mambo???
Acha kukurupuka, Soma comment niliyoijibu. Badala ya kumshangaa yeye unanishangaa Mimi. Yeye kufurahia mtu kufa umeona sawa...na yeye atafiwa vile vile kama sio yeye afeHivi wewe unawazazi kwelI au watoto hivi ushetani unakutoka wapi
cha cha kijani wameuaKwa uchungu mkubwa nawajulisha kuhusu msiba mkubwa tuliopata wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili Maalim Abubakar Khamis Bakar. Tangu walipompiga risasi chini ya miguu usiku wa tarehe 28/10/2020 hakuwa sawa mpaka mauti. Inna lillah waina ilaih raajiun
Kiongozi wa Chama
Zitto Kabwe