Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA aliyebuni project ya " CHADEMA ni Msingi" ahamia CCM na kupaponda Ufipa!

ILA KUMBUKA YULE MCHEZAJI NDIO ALIWASAIDIA CHADEMA KUPATA IDADI KUBWA YA WABUNGE,
JIULIZE KAMA CHADEMA WANGEMKATAA ALAFU AJIUNGE CHAMA KINGINE JE INGEKUAJE?
 
Unashangaa hilo, hukumsikia mbunge wa siha akisema kuwa mwaka 2013 alisaidia kutibu majeruhi waliojeruhiwa na polisi Arusha akiwa mwanachama wa chadema, wakati usahihi ni kuwa alijiunga chadema mwaka 2015 baada ya kukatwa kugombea kwa tiketi ya ccm
Hahahaaaa...... Siasa ni full propaganda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…