Ng'wanamangilingili JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 5,778 Reaction score 4,859 Oct 30, 2022 #21 mtu chake said: ubaya ubaya Click to expand... Undava undava Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
mtu chake said: ubaya ubaya Click to expand... Undava undava Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
V Vikintu JF-Expert Member Joined May 26, 2021 Posts 2,051 Reaction score 3,162 Oct 30, 2022 #23 OKW BOBAN SUNZU said: Kosa la Kagere ni lipi hapo? Kuieleza ukweli vettting panel? Click to expand... Na kosa la Sven na Gomez liko wapi? Kwa kuwachongea Kagere alionesha kutokuwa na imani nao. Hivyo si vibaya na wao kumpiga benchi. Kocha atamwaminije mchezaji anayetilia shaka ufundishaji wake?
OKW BOBAN SUNZU said: Kosa la Kagere ni lipi hapo? Kuieleza ukweli vettting panel? Click to expand... Na kosa la Sven na Gomez liko wapi? Kwa kuwachongea Kagere alionesha kutokuwa na imani nao. Hivyo si vibaya na wao kumpiga benchi. Kocha atamwaminije mchezaji anayetilia shaka ufundishaji wake?
mjasiliaupeo JF-Expert Member Joined Apr 21, 2013 Posts 2,162 Reaction score 3,088 Oct 31, 2022 #24 The Boss said: Why makocha wanakuja Simba huku wanaendelea kutafuta kazi kwingineko?kuna shida gani? Click to expand... Kufundisha national team kuna maslahi zaidi pia unakuwa na muda mwingi wa mapumziko
The Boss said: Why makocha wanakuja Simba huku wanaendelea kutafuta kazi kwingineko?kuna shida gani? Click to expand... Kufundisha national team kuna maslahi zaidi pia unakuwa na muda mwingi wa mapumziko
Mnyiramba JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,141 Reaction score 3,119 Oct 31, 2022 #25 Halafu anatokea mtu anakwambia wazungu hawana fitina!![emoji276]
Mnyiramba JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,141 Reaction score 3,119 Oct 31, 2022 #26 Bila bila said: Kuna binadamu Wana roho mbaya utadhani wataishi milele. Kuna Mwalimu akikaimu ukuu wa shule watu wanaishi kama jehanamu utadhani amemilikishwa shule. Click to expand... Pole mwalimu kwa yanayokukuta huko bush
Bila bila said: Kuna binadamu Wana roho mbaya utadhani wataishi milele. Kuna Mwalimu akikaimu ukuu wa shule watu wanaishi kama jehanamu utadhani amemilikishwa shule. Click to expand... Pole mwalimu kwa yanayokukuta huko bush