MK14 aweka wazi bifu lake na aliyekuwa kocha wa Simba-Sven

MK14 aweka wazi bifu lake na aliyekuwa kocha wa Simba-Sven

JamiiForums1908475498.gif
 
Kosa la Kagere ni lipi hapo? Kuieleza ukweli vettting panel?
Na kosa la Sven na Gomez liko wapi? Kwa kuwachongea Kagere alionesha kutokuwa na imani nao. Hivyo si vibaya na wao kumpiga benchi. Kocha atamwaminije mchezaji anayetilia shaka ufundishaji wake?
 
Halafu anatokea mtu anakwambia wazungu hawana fitina!![emoji276]
 
Kuna binadamu Wana roho mbaya utadhani wataishi milele. Kuna Mwalimu akikaimu ukuu wa shule watu wanaishi kama jehanamu utadhani amemilikishwa shule.

Pole mwalimu kwa yanayokukuta huko bush
 
Back
Top Bottom