Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maadamu ninyi ni weupe zaidi yetu na hilo tusi hakikuwagusa kwa namna yoyote hongereniHehehe!! Aliyewatukana mifupa yake imefukiwa huko kwao, sasa kitukuu akisema mnapata raha sana.....
Ni kama leo mjukuu wa Hitler aombe Wayahudi msamaha kwa ajili ya mambo aliyoyafanya babu.
Halafu nakumbuka mlikana kwamba hamkutukanwa, leo hii mnapokea ombi la msamaha kwa furaha.....Mwafrika bana, yaani ukimgusa tu anaachia.
Anyway, nia yangu ilikua tuache kuchekana pale mmoja wetu ametukanwa tusi linalotuhusu sote, ukimtusi Mwafrika yeyote kwa kutumia Uafrika wake, ujue umetusi bara lote, na itakua ujinga sana tukichekana, tutakua kama nyumbu wanaochekana pale mmoja wao amekamatwa na mamba ilhali anayecheka yumo humo kwenye mtoni huo wenye mamba.
Hiyo 'global citizens' umeitoa wapi na serikali yako ya Tanganyika hairuhusu uraia pacha??Am actually holding a global citizenship for sometime now, how is that laughable? [emoji28][emoji28]
Hapo vipi?
Ulilia sana kuhusu that president's remarks juu ya ubabe wetu kule UN, siku zote matumizi ya matusi ni ishara ya udhaifu ndio maana tupo mute.
Tanzania haijawahi kuwatetemekea wazungu ndio maana kwenye magereza yetu wamejaa tele, wewe tuoneshe mzungu mmoja aliyehukumiwa jela huko Kenya au Caucasian yeyote.Duh, Waafrica bana! Tutaendelea kuwa vibaraka wa wazungu tu! Who the F is Reaga's daughter??? no wonder wazee wa vijiji wetu walidanganywa na wakolonina kupewa pipi na chocolate ili waruhusu waafrica kuuzwa....... Tuna frahishwa na ujinga mtupu, Hilo neno la Monkey muafrika yeyote, wacha hata muanfrika.... mtu yeyote mweusi akiitwa hivyo na mzungu ni tusi kwa sisi sote watu walio na rangi nyeusi...... nakumbuka ule wakati yule mchina alisema jambo kama hilo eti WaTZ wakawa wanatucheka kana kwamba hilo tusi haliwagusi wao pia na mtu yeyote mweusi!
Sema kama unataka connections, Punguza vilio.Hiyo 'global citizens' umeitoa wapi na serikali yako ya Tanganyika hairuhusu uraia pacha??
Hivyo visafari vyako kwenye hayo magenge ya wavuta bange wa marekani ndio unaita global citizenship?
Hujui historia wewe mtumwa wa fikra.Waliotukana na waliotukanwa wote wameshajiozea kaburini huko, sisi tuliobaki bado tunababaika na matusi yao.
Supremacy iliyojengwa na mtu mweupe dhidi ya mtu mweusi itadumu milele na milele. Mtakuwa inferior tu, na vizazi vyenu vijavyo navyo vitakuwa inferior mpaka mwisho!
Ndio muelewe dunia inajiendesha kwenye muhimili wake na kila kitu kimekaa kwenye safu yake. Muache kujitutumua.
Mtumwa ni mtumwa milele!
Nyinyi ni stupid nugu by chineseMbona unaleta hizi ndoto za mashetani na wachawi kwa jukwaa la Kenya na sio sisi tulioitwa nugu? Keep your dirty linen home in Tanzania's closet.
Hadithi tupu hizi kama debe la mwendawazimu!Hujui historia wewe mtumwa wa fikra.
Huyo mtu mweupe amewahi kuwa mtumwa.
Unawajua Moors toka bara la Africa waliotawala na kupeleka ustaarabu wa choo na sauna huko Ulaya?
Walijenga University nyingi Ulaya(Spain na Ureno)
Walipeleka utaalamu wa navigation ulimuwezesha Christopher Columbus kwenda bara America (mtu mweupe wa kwanza kuiona America).
Soma hapa historia ya Moors: bonyeza Link
Sisi alitutukana private! Nyie Mchina in public!Aliyewatukana nae hakuomba hadi akafa
Vichwani mwa watu kama wewe haitaondoka.umepewa andiko la ki-scholar bado unasema hadithi!!Hadithi tupu hizi kama debe la mwendawazimu!
White supremacy imewafunga minyororo mizito vichwani watu weusi!
Mmeshaharibiwaa self esteem kutoka kizazi cha wakina Kinjektile mpaka vizazi vyote vitakavyofuata!
Ndio maana mkiitwa nyani mnahamaki! Mtukanaji mwenyeji alishajifia huko kaburini kawa vumbi lakini tusi lake linawatetemesha hata ambao hamkuwepo!
Hii racial inferiority kuiondoa inahitaji maombi na miujiza ya Kristo!
Hitler hakupata mtoto
Sisi alitutukana private! Nyie Mchina in public!
Alitufukuzwa Kenya angali hai na kuomba msamaha wakati anakamatwa na kurushwa kwa Ndege. Reagan aliwatukana mababu zenu miaka ya 70s,akafa bila kuwapa msamaha kwa hip Hadi wa Leo yani miaka 40 bado nyie ni nyani 😂😂😂...Tanzania ya 70s and 80sMchina hawker aliyewatukana kaomba Msamaha? Na anaishi!
Wakenya bwana! Hivi yule Rais wenu anaitwa moi sijui... angekuwa miongoni mwa ile delegation sijui wazungu wangempa jina gani!!Alitufukuzwa Kenya angali hai na kuomba msamaha wakati anakamatwa na kurushwa kwa Ndege. Reagan aliwatukana mababu zenu miaka ya 70s,akafa bila kuwapa msamaha kwa hip Hadi wa Leo yani miaka 40 bado nyie ni nyani [emoji23][emoji23][emoji23]...Tanzania ya 70s and 80s
leo umeonge la maana sana....Hehehe!! Aliyewatukana mifupa yake imefukiwa huko kwao, sasa kitukuu akisema mnapata raha sana.....
Ni kama leo mjukuu wa Hitler aombe Wayahudi msamaha kwa ajili ya mambo aliyoyafanya babu.
Halafu nakumbuka mlikana kwamba hamkutukanwa, leo hii mnapokea ombi la msamaha kwa furaha.....Mwafrika bana, yaani ukimgusa tu anaachia.
Anyway, nia yangu ilikua tuache kuchekana pale mmoja wetu ametukanwa tusi linalotuhusu sote, ukimtusi Mwafrika yeyote kwa kutumia Uafrika wake, ujue umetusi bara lote, na itakua ujinga sana tukichekana, tutakua kama nyumbu wanaochekana pale mmoja wao amekamatwa na mamba ilhali anayecheka yumo humo kwenye mtoni huo wenye mamba.
Waafrika tuambiwe Mara ngapi tuelew,kua hatupendwi na wazungu.