EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,565
- 1,918
Yaani wewe utakuwa na mtindio WA ubongo kbs hivi kile ki sealed kinachowekwa juu ya mtungi ili mtu asje akautumia kisha akauza tena ndo kisababishe mtungi kuwa safe hata kama ukisafirishwa ni kweli kile ki sealed ni security ya mtungi kutolipuka?Ile ipo sealed haijaanza kutumika kabisa means tangu imejazwa haijawahi kutobolewa na kutumiwa. Ndio maana hairihusiwi kusafirisha mtungi wa gesi kwa usafiri wa uma kwa sababu ya uhatari wake.
NB. Wewe ni kilaza sana mkuu.
Mbona kinanyofoka Tu unajua kwamba hapo zamani kidogo mitungi ilikuwa haiwekewi hiyo sealed na ilikuwa Inasafirishwa Tu hiyo sealed unajua kwamba serikali ndo iliamuru lengo likiwa ni kuzuia wauzaji wastumie na kuuza tena.
Ndani ya mtungi kwenye ule mdomo kina golori ambayo ukiibonyeza gesi inatoka ukiiachia au kama hujaunga burner Ile golori inafunga pale gesi haitoki.
Huu ujinga wako kadanganye familia yako tahadhari ya gesi IPO popote pale hivi unajua nchi zngne mtungi WA gas unatakiwa kujengewa nje huko yaani ni marufuku kukaa nao ndani. Sa unashangaa nn kutoruhusiwa kuusafirisha kwny usafiri WA umma.
Nimekuulza swali simple ww hujawahi letewa mtungi WA gas na bodaboda au hujawahi kuona imebebwa na boda au mtu anapohama hujawahi kuona imepakiwa toka sehemu moja kwenda nyingne au ukifka huko unakohamia unalipuka?
Mjinga mmoja ww eti ustikise gas itakulipukia si tungeshazka boda na watu kibao. Hapa unaleta hoja chuprichupri eti ambayo haina sealed ndo hailipuki ukimaanisha mtu ukishaanza tumia gas basi imeshakuwa hatari ukiitikisa unasahau watu Wana Hama nazo Kila Leo na hakuna ulipukaji mtu anasafiri na gas ndani ya Lori anahamia mkoa mwngn akifka huko anaendelea kutumia na hakuna lolote mpk inaisha.
Hapa ungesema gas ni kuwa nayo makini Sana maana linaweza tokea lolote ndo maana hurusiwi ipakia kwny bus japo watu wanapakia wakiwa wamezfunga kwny nguo au kiroba huwez jua kama ni gas.
Kuzunganka ww danganya watoto wako hapo tena hakikisha ni kale hata hakajui kuongea.