unataka wakaka tu???mmmh lazima utakua na lako jambo..
namie nataka kuchata nawewe uko tayari?
TISS nn maana mhhh!!
Jamani nimenyoosha kidole hadi mkono unauma!!!! Mamie hujaniona tu kweli au kuna kaupendeleo!!?
Kama barafuyamoto?nina mashaka na hizi Id zenye 'oo', yaani zinazoishia 'o' zinazoongozana!
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.
with thanks!
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.
with thanks!
unataka wakaka tu???mmmh lazima utakua na lako jambo..