Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Jamani nimenyoosha kidole hadi mkono unauma!!!! Mamie hujaniona tu kweli au kuna kaupendeleo!!?
 
Aksanteni sana kwa wote mlioniadikia Na kupm.
Nawathamii wote......
Stay blessed!
 
Jamani nimenyoosha kidole hadi mkono unauma!!!! Mamie hujaniona tu kweli au kuna kaupendeleo!!?

hakuna kitu kama icho
just chatting hakuwezi kukawa na upendeleo ukiona ivyo ujue just bussy but we are together!
 
hata wababa wastaarabu tupo na tunajua kuchat. wewe tubague tu
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.

with thanks!

ni PM faster
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.

with thanks!

Karibu sana Dada wa hiari
 
Back
Top Bottom